Kimsingi suala zima la nishati ya umeme linahitaji kuundiwa mkakati wa kudumu.Serikali ifanye umuzi mgumu kama anavyosema Mh.Kabwe lakini uamuzi huu uwe ni wa kuwekeza katika vyanzo vya umeme tulivyokuwa navyo Gesi songosongo,makaa ya mawe n.k tatizo ni lack of good governance,ufisadi na...
Aya bwana wengine wanasema kiingereza kwa wabongo ni janga la kitaifa sasa wakulaumiwa nani? mtu yeyote asiye na mazoea ya kuongea kiingereza au kukitumia mara kwa mara yanaweza kumkuta ya Kanumba na sisi wabongo ndio hivyo tena......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.