Yeah, yaani watanzania huwa ni bendera fuata upepo, Lowasa alichafiliwa sana na CDM lakini alipotoka CCM walimkumbatia na kumtupilia mbali Dr.Slaa, leo wanamsema Samia lakini angetangaza leo kuhamia kwao atapewa form ya kugombea siku hiyohiyo. Ko tumesahau kabisa uongozi wa Polepole kipindi cha...
Acheni mambo ya ajabu, nimepoteza ndg,jamaa na marafiki kijijini ambapo si wanasiasa ila utaambiwa kalala amekutwa amekufa,usimpangie Mwenyezi Mungu namna ya kuchukua mja wake, hata mimi na wewe hiyo Oktoba uisemayo huenda tusiione
Kwa hiyo mtandaoni hoja haisikilizwi? Wakati wa mkutano wa mwanzoni mea mwaka huu mbona hakupinga ambapo mkutano ulikuwa wa moja kwa moja? Lakini mimi na wewe tunajua ni kipengele gani cha katiba kinaenda kurekebishwa? Turuhusuni muda ufanye kazi yake ndg zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.