Recent content by ntahagaye

  1. N

    Pspf msaada jamani

    mkuu fafanua vizuri sijakuelewa hapa andiko lako
  2. N

    Pspf msaada jamani

    mkuu mahakamani nafungua kesi gani ndugu
  3. N

    PSPF msaada jamani

    Msaada jamani mimi nilikuwa mwalimu selikarini sasa nimefukuzwa kazi nilikuwa mwanachama wa PSPF nimechangia kwa miezi arobaini . Nilikuwa nauliza, je nienda kudai malipo yangu ntalipwa pia nilikuwa nataka kujua calculation inakuaje ya malipo hayo.
  4. N

    Pspf msaada jamani

    Msaada jamani mimi nilikuwa mwalimu selikarini sasa nimefukuzwa kazi nilikuwa mwanachama wa pspf nimechangia kwa miezi arobaini nilikuwa nauliza je nienda kudai malipo yangu ntalipwa pia nilikuwa nataka kujua calculation inakuaje ya malipo hayo
  5. N

    Msaada: Mafao ya PSPF

    Mimi nilikuwa mwalimu serikalini, nimefukuzwa kazi kutokana na utoro kazini. Kwa kipindi kirefu nilikuwa mwanachama wa mfuko wa pension wa PSPF nimechangia miezi arobaini. Je, watanilipa pesa zangu? Na culculation inakuaje? Maana naambiwa kama nimefukuzwa kazi silipwi, msaada jamani.
  6. N

    Mjadala: Kuhusu Uchaguzi wa Zanjadala - Humphrey Polepole na Ismail Jussa

    Jussa asante kwa kumgalagaza huyu jamaa
  7. N

    Polisi wazuia ziara ya Edward Lowassa, Kariakoo. Wapiga marufuku mgombea kupanda daladala

    Sisi tunaopanda daladala si malofa mbona wanatuzuia tena
  8. N

    Msaada: Kurudi kazini

    Unaweza kunisaidia sababu hizo ili niweze kuandaa hiyo barua nimeshindwa kisaikolojia cko vema
  9. N

    Msaada: Kurudi kazini

    Hapana
  10. N

    Msaada: Kurudi kazini

    Nilinyimwa ruhusa ya kwenda kusoma nikaamua kuacha kazi ili nisome
  11. N

    Msaada: Kurudi kazini

    Hapana
  12. N

    Msaada: Kurudi kazini

    Ndiyo mkuu
  13. N

    Msaada: Kurudi kazini

    nilikopa benki kama mbili, mshahara umesitishwa mwezi wa pili
Back
Top Bottom