Recent content by Nsongoro

  1. N

    JK: Ni Marufuku kipengele cha Dini kwenye Sensa

    Hapo hapo, na ndo tabia. Hii ya kuzana ingeishia wapi bila hao wanaolalamikiwa wasingetokea? Sometimes waarabu hawana issue, when it comes to historical bkgrnd zao. Yote yamepita, kwa sababu sasa hakuna anayelazimishwa kwenda kusoma uarabuni wala uingereza wala kwa obama... Woooote tunaenda soma...
  2. N

    Sheikh Ponda na wenzake wasisitiza waislam kugomea sensa!

    Kwa akili yangu ndogo ambayo imefanikisha kujua kusoma na kuingia JF, najiuliza hii ni sensa ya tano! Nyingine zoote zilizita zimefanyika kwa amani, hii ya sasa inakuwaje? Maana rais angekuwa ni mkristu ningeegemea kwa upande fulani labda anapingwa, lakini sasa enzi za akina alhaj Mwinyi, mbona...
  3. N

    SENSA: Nini faida yake?

    ",,"...hapo mzee lazima utakuwa na ufa katika ubongo.... Hili haliitaji kwenda shule, kwa umri wako huu huoni umuhimu wa sensa, ....oh sijajua level ya elimu yako, sorry!
  4. N

    SENSA: Nini faida yake?

    Kwa ambaye hajaenda shule, kamwe hatojua umuhimu wa sensa kwa shughuli za maendeleo... Sidhani kama mtu ataweza kufananisha na mwenge! Hii ni kuikosea nidham akili zenu wote mnaopinga sennsa eti kuwa haina issue.
Back
Top Bottom