Tatizo litakalo tumaliza nchi hii ni kuchagua watumikia vyama badala ya kutumikia wananchi. So long as matwakwa ya vyama na washirika wao yapo salama hawatajali matatizo ya wananchi, ndio maana watu kama kina faizer foxy wanatetea hata ujinga uliowazi wazi. Ni ukweli uliowazi kabisa katika miaka...
Inasikitisha sana kuona watu kama hawa tena walemavu wanatoa hoja mfu kwa aibu ya pesa na vimadaraka uchwara. Eti tume ya Warioba haikuwa na weledi, kuwajubu watu kama hawa ni kupoteza muda.Wameamua kujitoa ufahamu kwa aibu yao na vizazi vyao. Kwanza wajue kuwa yale wanayoyaita maoni ya warioba...
Nakushuru sana mkuu DSN kwa ufafanuzi wako wenye afya na kistaarabu bila kutumia lugha za kashafa wala matusi. Kwa kifupi nimependa approach yako ya kujibu hoja kwa kutumia hoja.
Kwa sehemu kubwa nimekubaliana na hoja yako ya kumpata kiongozi mwenye upeo,makini,mchapakazi,mzalendo wa...
kwanza nikupongeze mkuu mtoa mada kwa jitihada zako
katika mada yako umeeleza mambo mengi sana mabayo kimsingi sikuona sababu ya kuzunguka kote huko mara ujamaa, mara ubepari mara ukoloni mara uchumi huria mara uchumi wa soko na mambo mengi. Kimsingi sikuona muunganiko wa moja kwa moja wa hicho...
Namshangaa ofisa mkubwa wa ofisi ya PM kung'ang'ania eti WB hawapaswi kuingilia maswala ya matumizi ya pesa ya mkopo, hii ni dalili mbaya kwa watendaji wetu wao wangeshukuru WB wanawasaidia kupunguza ufisadi badala ya kutetea uozo
Lazima watambue kuwa wafadhili wamechoka kuona kila wakitoa pesa...
Hata kama chama chake kikimpitisha siwezi kumchagua mtu ambae amekaa bungeni miaka 8 kama bubu hata kuchangia wala kutoa hoja moja kuwasemea wananchi wake leo eti anapewa sifa za wajinga kwa sababu tu watu wanalipwa,kweli watanzania tunanunulika kwa bei ya ubuyu.ukimlipa mjinga senti ya mboga...
Ukiiangalia hoja haraka haraka utafikiri mleta mada ana hoja ukweli ni kwamba mleta mada alitakiwa kuainisha kwanza kazi za KUB na angeleta na uthbitisho,pia angechora mstari kwa kutumia kanuni,sheria,mipaka na miiko ya matumizi ya gari la KUB badala ya kutoa tuhuma za jumla.
Mtoa mada pia...
Kwa kifupi mkuu salary slip kujenga hoja huku unamaslahi ni shida sana naona umembana vilivyo mkuu wilson povu limemtoka naona kapewa ubunge wa viti maalum
Kwa nini upewe kinga kwa kitu cha kipuuzi kama hicho ambapo hata mtoto mdogo anajua kuwa sababu kubwa ni kuwanyima fursa watumishi wa umma nafasi za kiasa kwa mlango wa nyuma
Wanaopinga hoja hii hawajui maana pana ya utimishi wa umma. Maana pana ni kuwatumikia watanzania walewale kwa nn...
Hivi mkuu kikaratasi cha mshahara anaefaa zaidi kuongoza wizara ni nani kati mtumishi wa umma aliyebobea katika masula ya utumishi na mfanyabiashara asijejua chochote cha utumishi wa umma anakuja kua chief executive wa wizara na kutoa maamuzi ya mwisho.
Kinachonishangaza zaidi nyaraka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.