Bwana bwana...
Maisha ni kitu ingine kabisa asee.
Ngoja nisimulie kwa kifupi sana safari yangu ya maisha... Yaweza kuwatia moyo wengi wanaopitia haya niloyopitia / ninayopitia kwa sasa.
Bwana bwana asee... Ndoto yangu ilikuwa kuishi Arusha buana... Baada tu ya shule nikaanza safari ya...
Haya maisha buana... Inawezekana kabisa Lukuvi ndo kajua mwaka huu kuwa Kuna haka ka-utaratibu ka dalali kuchukua kodi ya mwezi mmoja...wakati kina 'sie' tumekuwa tukipambana nako kwa muda mrefu sasa.
Hakuna tena wapinzani wa kupiga vijembe na kuwaburuza... Sasa inabidi tutafute wapinzani nje ya bunge ili tuendelee kuwapiga vijembe na maneno ya kwenye kanga.
Nipo chapter ya 14, Relax for Easy Power... (Sijui na mimi nitashtakiwa kwa ugaidi?... Maana ma-ccm milioni nane yana mawazo matatu tu (General Ulimwengu))
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.