Wakawaulize TISS ,huyo mama wanamwonea,nasikia wao waislam walianza kujitwalia nasafi nyeti serikali iliposhtuka wakamwondoa mkuu wa chuo,alieletwa mpya wakamfanyizia navyosikia,hapo unataka wachukue hatua gani zaidi yakusambalatisha hako kakikundi
Ya tz hayotekei nchi zingine, hachukuliwe hatua kwa kuongea maoni yake? unajua kinachoendea Kenya? watu wako open na straight ktk facts... nyie wapumbavu endeleeni na upumbavu
Raisi analaumiwaje kama mihimili mingine inafanya kazi kiufasaha?hao inawezekana walikamatwa hata raisi hajui,Wale Wa Uamsho tunajua walikua tishio kwenye suala la Muungano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.