Recent content by Nshaija

  1. N

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Kwani kusoma ni kujua Kiingereza?

    Hivi inakujja akilini kufundishwa kila kitu kwa lugha ya Kiingereza ukaelewa na usikijue Kiingereza??!! Au ndio ajabu la NANE la DUNIA
  2. N

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Kwani kusoma ni kujua Kiingereza?

    Indeed kaka hili ni RIGH RCK taifa limepanda
  3. N

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Kwani kusoma ni kujua Kiingereza?

    :):):):):rolleyes: huku nikimshukuru Mungu kwa kunipa upeo wa kuelewa japo kidogo. Haiingii akilini Rais anasimama na kuwatetea watu wake kushindwa kufanya jambo dogo kwa lugha ya Kiingereza kama kuandika barua alafu watanzania haohao anategemea wakashindane katika huu ulimwengu uliojaa...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Kwani kusoma ni kujua Kiingereza?

    Leo hii wachina anaojifanya kuwaiga wanazungumza Kiingereza strategically tofauti yao na sisi ni kuwa wao wanapata maandalizi stahiki na mbinu bora za ufundishaji wa lugha ya Kiingereza, sasa sisi tunajitetea ujinga tu ilihali walimu wenyewe wa Kiingereza wanafundisha lugha hiyo kwa Kiswahili...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Jack Pemba avujisha video yake ya ngono

    watu mko makini sana
  6. N

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Kila mwezi tunalipa deni la taifa shs bil 950, hivi tunakusanya ngapi na matumizi kiasi gani?

    Tafsiri yake ni kuwa mwakani tutakaribia kulimaliza deni la taifa :D:D:D:D:D:D:D:D:D nyingi sana kwa MTUKUFU Rais Hiiiiiiiiiiiiiiii!!1
  7. N

    JamiiForums Tanzania Wakati Rais Magufuli anasema "hela zipo" Tanzania yaiomba Benki ya Dunia kusaidia ujenzi wa SGR

    ukitoka kwa jirani kukopa ukapita baa, anayelipa ni nani kati yako na jirani??!!!
  8. N

    JamiiForums Tanzania Tathmini: Dhamira ya "maandamano ya Mange" imefanikiwa

    Haya yote ni kwa sababu sisi kama taifa tunapenda sana mabadiliko lakini hauuko tayari kubadilika ili tuyapokee haya mabadiliko, kazi ni watu tu kunung'unika juu ya madhira wapitiayo bila kutend
  9. N

    JamiiForums Tanzania Tathmini: Dhamira ya "maandamano ya Mange" imefanikiwa

    Haya yote ni kwa sababu sisi kama taifa tunapenda sana mabadiliko lakini hauuko tayari kubadilika ili tuyapokee haya mabadiliko, kazi ni watu tu kunung'unika juu ya madhira wapitiayo bila kutend
  10. N

    JamiiForums Tanzania Tathmini: Dhamira ya "maandamano ya Mange" imefanikiwa

    Exactly! Hapa ndo ninaamini ule usemi kuwa Watanzania ni wavivu wa kusoma. Sasa makala ya kusoma under five minutes maximum mtu anaamua kuikacha ila ingekuwa stori za dhahania juu ya kisa cha mapenzi hata page 10 angesoma
Back
Top Bottom