Tuanze kwa kubadili lugha kwanza, iko hivi; Lawyer ni mwanasheria, Advocate ni wakili.
Tuanzie hapa sasa:
Kila Wakili ni Mwanasheria, ila sio kila Mwanasheria ni Wakili
Kimsingi, mtu yeyote aweza kuwa Mwanasheria ikiwa atasoma taaluma ya sheria kwa ngazi ya shahada (LL.B), lakini ili kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.