Kwa maana nyingine DPP kaondoa mashtaka baada ya kugundua kwamba serikali iliyopita ilikuwa inabambikia watu kesi,Je huyu aliyekuwa anaambiwa Mbowe alitoroka hakuwa kiongozi wa serikali iliyopita serikali bambikizi?
Nikisema serikali inamtumia DPP kukomoa watu nitakuwa nakosea?
Unajua kabisa hawa watu hawana hatia unawaweka ndani miaka kdhaa au miezi halafu una ondoa mashtka[emoji24][emoji24][emoji24]
"Eeeh Mwenyezi Mungu ninusru kamwe nisije nikawa mwanaCCM"
Kwahiyo ukirithishwa vya wizi vinakuwa vya halali? Walioharibu uchaguzi ni CCM na rais wa Sasa ni CCM na alikuwepo kwenye huo uchafuzi/uchaguzi wa 2020.
Unamfunga mtu miezi 8 halafu ukamtoa kwa shinikizo la watu fulani unakuwa umempa heshima? Akushukuru wewe badala ya waliopiga kelele! Akushukuru kwa lipi hali ya kuwa ulimfunga bila hatia?
Chondechonde dada zetu hawa wasamehewe wote kazi iendelee,CHADEMA mlishawahi kutukosea mwaka 2015 lakini tulisha wasamehe na bado tuna imani kubwa na nyinyi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.