YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
- Thread starter
- #41
Kwa hiyo ulitaka mahakama ishinike kesi iendelee wakati aliyeileta hiyo hataki kuendelea nayo na washtakiwa hawataki kuendelea nayoLabda mkuu una definition tofauti ya 'Ukweli'
Dpp anamuachiaje mbowe wakati mahakama tayari imenuona ana kesi ya kujibu?
Ulimsikia mbowe na wenzie wakitaka kesi iendelee? Walifurahi tu wangekomaa kusema Sisii tunstaka iendelee mbona hawakusema