Ooohhhhhh! God of Abraham! Means hiyo ni sera ya CCM, kujua au kutojua Mbowe anaishi vipi itatusaidia watanzania? Think twice before posting. Alipaswa atuambie CCM imetufanyia nini watanzania. Achana na propaganda za akina Mwigulu, na kuongea kauli kama hiyo jukwaani ni kwamba na wewe pia...
Very fantastic, huyo Mwigulu elimu yake alipata bure? Elimu ndo kila kitu, kwenye elimu 10,000 USD ni sawa na bure. Cha msingi hapa ni amezipataje, kama ni za wizi kama hao wa vijisenti inawezakuleta shida, ila kama ni halali abarikiwe na apate zaidi ya hapo. Kwa watanzania si wakati wa kujadili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.