Recent content by nsajigwar

  1. N

    TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

    RIP kamanda!!
  2. N

    Vurugu Ilula: Mwananchi afariki, Kituo cha Polisi chachomwa moto

    Polisi wajenge urafiki na raia, cha msingi kila mtu atambue wajibu wake kwa nafasi aliyonayo. Yote hayo yatakwishwa!!!!!!!!!!!!!
  3. N

    TANZIA Waziri wa Fedha, Dkt. Willliam Mgimwa afariki dunia!

    Ndo huyo huyo!!!!!!!!!!!!
  4. N

    Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

    Ooohhhhhh! God of Abraham! Means hiyo ni sera ya CCM, kujua au kutojua Mbowe anaishi vipi itatusaidia watanzania? Think twice before posting. Alipaswa atuambie CCM imetufanyia nini watanzania. Achana na propaganda za akina Mwigulu, na kuongea kauli kama hiyo jukwaani ni kwamba na wewe pia...
  5. N

    Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

    Very fantastic, huyo Mwigulu elimu yake alipata bure? Elimu ndo kila kitu, kwenye elimu 10,000 USD ni sawa na bure. Cha msingi hapa ni amezipataje, kama ni za wizi kama hao wa vijisenti inawezakuleta shida, ila kama ni halali abarikiwe na apate zaidi ya hapo. Kwa watanzania si wakati wa kujadili...
Back
Top Bottom