Dkt Kilembwe
Naomba ufafanuzi ziara za mikoani amekuwa akienda sambamba na viongozi wale, ilipofika zamu ya Arusha na moshi kagawa makundi mawili moja lake na moja la mwenyekiti, la kwake linaenda kusini lkn la mama linakuja Arusha, Why?? Au baada ya zomeazomea alihisi na Arusha atazomewa?