Recent content by NSAGHA

  1. N

    Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika Kampeni Arusha

    Pole inaonekana umetumiwa picha, uliza stand ya hice Arusha iko wapi na inaitwaje, usikariri
  2. N

    Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika Kampeni Arusha

    Kuja kutuvizia stand ya kilombero na kusababisha usumbufu baada ya kufunga gate la kutokea na kutufanya tuonekana tuko kwenye mkutano wake, ni akili ndogo aisee tuko kwenye mishe zetu mnataka kututumia kama wahudhuriaji
  3. N

    lowassa atakuwa rais wa tz

    MUSSAAllan au mwingine? Si mmemkata?
  4. N

    CCM kufanya press conference kesho

    Lizaboni ulisema lowasa hawezi kuhamia ukawa maana kazuiwa na rafiki zake, VP bado ndiyo usahihi? Au umeeomba radhi?
  5. N

    CHADEMA wanaweweseka

    Unaweza kuthibitisha kuwa sugu hawezi uoongozi? Au kutibitisha tukio hilo limeratibiwa na yeye? Kipi sahihi za kutengenezwa au vijana walitumwa?
  6. N

    CHADEMA wanaweweseka

    Dkt Kilembwe Naomba ufafanuzi ziara za mikoani amekuwa akienda sambamba na viongozi wale, ilipofika zamu ya Arusha na moshi kagawa makundi mawili moja lake na moja la mwenyekiti, la kwake linaenda kusini lkn la mama linakuja Arusha, Why?? Au baada ya zomeazomea alihisi na Arusha atazomewa?
  7. N

    CHADEMA wanaweweseka

    Dkt Kilembwe Kwanini hakushuka? Maana hv karibuni tulimuona akigawa kadi hadi kwenye malori akipanda, pili wakati wenzake wameshuka ye aliendelea na safari? Kana alikuwepo sauti za kumzomea zinawahusu walioshuka tu lakini walio ndani ya gari haziwahusu? Mwisho Siasa ni changamoto siyo mara zote...
  8. N

    CHADEMA wanaweweseka

    Tumia fursa kama changamoto, kama sugu hawezi kuongoza 25 October hiyo kagombee jimbo la mbeya maana unauwezo
  9. N

    Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, aamua kuvuruga uandikishaji, Dr. Slaa aingilia kati Kuokoa jahazi

    Bvr kit leo zimeongezwa, wale wauza vitumbua wako wapi?
  10. N

    NEC Wanapaswa kumpongeza Mbunge wa Arusha Mjini kuhamasisha Uandikishaji

    Njoo ununue nyie nitawafanyia discount
  11. N

    NEC Wanapaswa kumpongeza Mbunge wa Arusha Mjini kuhamasisha Uandikishaji

    Wale mnaolopoka, mkauze vitumbua! Upuuzi wa Lema ndio umasababisha BVR Kit kuongezwa, hapa Osunyai s/m zilikuwa 3 sasa ziko 10! Ndio utajua malopokaji yanavyohaha,.
  12. N

    NEC Wanapaswa kumpongeza Mbunge wa Arusha Mjini kuhamasisha Uandikishaji

    Ndio shida ya wapika vitumbua na wacheza ngoma, hawajui kazi ya vyama vya siasa na mbunge! Mtu anayehimiza watu kujiandikisha anayo hofu ya kushindwa? Uwezo wa kufikili wa wacheza ngoma ni wa kutiliwa mashaka
  13. N

    Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, aamua kuvuruga uandikishaji, Dr. Slaa aingilia kati Kuokoa jahazi

    Kapike vitumbua na chapati muda tayari tuachie bangi na viroba lkn maendeleo yapo, nyie endeleeni kucheza ngoma
Back
Top Bottom