Recent content by nrashu

  1. N

    Jaji Augustino Ramadhani achukua Fomu kugombea Urais wa JMT

    NYONGEZA "A" AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni Moja. (2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote. (3) Nitajitolea nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga,magonjwa na dhuluma. (4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa. (5)...
  2. N

    CHADEMA hebu mjibuni huyu kijana wa Moshi Mjini

    Hatimaye hospitali ya mawenzi yapata vifaa vya kufanyia upasuaji baada ya miaka 5. Pongezi ziende kwa mbunge wa jimbo hilo mzee mheshimiwa Ndesamburo.
  3. N

    Mashine ya kufulia nguo inahitajika

    Unataka machine za nyumbani au kwa biashara? pili ni machine pekee au na complete laundry and dry cleaner units. kupiga pasi na machine za kusafishia maji?
  4. N

    CHADEMA Yaahidiwa Fedha na Wanaharakati (Marekani): Masharti ya Fedha Yanatisha!

    States and territories with same-sex marriage State or territory Population[125] Date of Enactment/Ruling Date Effective Legalization method Details Alaska 736,732 02014-10-12-0000October 12, 2014 02014-10-17-0000October 17, 2014 Federal court decision U.S. District Court for...
  5. N

    Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya ya Ilemela ahamia ACT-Wazalendo

    Huyo Bwana Chipegwa Msanjila ni Jirani yangu na tulifanya naye kazi Airport. Hajawahi kuwa mjumbe wa mkutano wowote wa CDM. Kwa sasa mwacheni atumie haki yake ya kidemokrasia. Ni vizuri mleta mada ukawa mkweli kuweka detail zote. Alichaguliwa lini, anawakilisha kundi gani, kutoka kanda gani na...
  6. N

    Tume ya taifa ya uchaguzi (NEC) yaahirisha kura ya maoni

    Tume haijawahi Tangaza tarehe ya kupiga kura. inakuwaje leo wanatangaza kuairisha?
  7. N

    MOU kila kukicha, ni Kwa faida ya nani?

    Hakuna Pesa ya Serikali inayofadhili MoU kati ya Shule na Hospitali ya madhehebu ya Kikristo na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Masharti ya Misaada ndio yaliyotuponza. Pesa zinazoenda kufadhili MOU zinatoka kwa wafadhili ambao waliweka sharti za serikali kutotaifisha mashule na...
  8. N

    Singapore's founding father Lee Kuan Yew dies at 91

    Who can were the shoes on LKY in current Africa?? Singapore - Lee Kuan Yew, the founder of modern-day Singapore, has died. He was 91. The former prime minister, who had been hospitalised in intensive care for severe pneumonia since early February, died early on Monday morning in Singapore...
  9. N

    Masheikh wapiga kambi Bungeni kushinikiza Mahakama ya Kadhi kupita

    Uhuru wa imani ya dini 40.-(1) Kila mtu ana uhuru wa mawazo, dhamiri, imani na uchaguzi katika mambo ya imani ya dini na anao uhuru pia wa kubadilisha dini, imani yake au kutokuwa na imani na dini. (2) Kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari...
  10. N

    Wanaomtetea Prof. Muhongo, jibuni maswali haya

    Ukitaka kueleweka punguza jazba na uelezee mafanikio ya waziri katika wizara kitakwimu. Kuondoka kwa Prof Muhongo sio kwa sababu za perfomances ila ni ubadhirifu uliotokea wizarani akiwa waziri. Naomba watanzania wenzangu tujifunze kuwa objective na kuacha ushabiki/upendeleo/uonevu kwa sababu...
  11. N

    Majibu ya Serikali (Wizara ya Nishati na Madini) kuhusu ripoti ya PAC juu ya Tegeta Escrow Account

    kwa wataalamu wa mitambo ya kuzalishia umeme! Naomba kujulishwa bei za mitambo mipya ya kuzalisha 100MW.
  12. N

    Majibu ya Serikali (Wizara ya Nishati na Madini) kuhusu ripoti ya PAC juu ya Tegeta Escrow Account

    Kuna madudu mengi sana serikalini. Je ni vigezo gani vilitumika kutoa kandarasi kwa mkono advocates? ilitangazwa au aliteuliwa tu? Hii wizara inahitaji clean up ya hali ya juu.
  13. N

    Majibu ya Serikali (Wizara ya Nishati na Madini) kuhusu ripoti ya PAC juu ya Tegeta Escrow Account

    Tunaomba mkataba wa mkono advocates kusimamia kesi ya Tanesco.
  14. N

    Majibu ya Serikali (Wizara ya Nishati na Madini) kuhusu ripoti ya PAC juu ya Tegeta Escrow Account

    Uchunguzi mwingine unahitajika. Tanesco na Wizara walikuwa wapi mpaka gharama za mkono advocates zikafikia 60+ billions? Je mkataba wa kumpa kazi mkono ulikuwa unazumgumziaje kuhusu malipo? Huu ni uzembe mwingine wa wizara na Tanesco.
Back
Top Bottom