Recent content by Novela E

  1. N

    Tumependana na Mume wa mtu

    Wakuu mpo, Nimemiss vichambo vyenu. Jaman Leo sio mm ni shogaangu, huyu shogaang tumetokea kupendana tunafanya kaz office moja namuona hana raha ktk story story ikabid anifungukie aniombe ushaur, iko hv! Huyu shogaangu ni mke wa mtu anaishi na familia yke na wanamaisha mazuri tu, sasa kuna...
  2. N

    Mume wangu hapendi sex

    Tatizo humu ndani huwaga siwaelewi, MTU anaomba ushauri mnasema uongo, sasa nidanganye nimuogope nani humu ndani katika thread zangu cjawah kudanganya, hata ile ya jamaa wa muheza zote ni kweli ila mazingira ndoa tofauti. Na hayo yote yanatokana na Mr wangu angekua anapatiliza ningetulia...
  3. N

    Mume wangu hapendi sex

    Zero brain
  4. N

    Mume wangu hapendi sex

    Wakuu hbr za kaz Niko mbele yenu tena kuomba ushauri juu ya hii ndoa yangu, maana inanipa wakati mgumu mno. Mm ni mama wa watoto wawili, nimeolewa miaka8 iliyopita, niliolewa nikiwa miaka 18 na kabla cjaolewa nilikua na boyfriend wangu, tulishindwana kisa dini kwakweli tulipendana na yule...
  5. N

    Nimueleweje Mwanaume huyu

    Wabongo wanapenda kujifanya watakatifu wakati vitombi wakubwa, Achen kujiona mko perfectly kwa kila jambo. Kuna mdada humu nae anajifanyaga Much know SNA, kila Uzi anao andika mwanamke mwenzake lazima apite akandie namsubir nae bado hajaja Nyie toen ushaur ukiona huna pita kimya kimya
  6. N

    Nimueleweje Mwanaume huyu

    Atajuaje kwan kuna maafsa mikopo wangapi humu jukwaan, huu ndo uzuri wa JF unaongea kwa uwaz hakuna kujuana, na uzuri nasoma comment point nachukua pumba nawapa kuku wangu wale
  7. N

    Nimueleweje Mwanaume huyu

    Nimlinde kwa kip mkuu, kumbuka huyu mshkaji mm nayy ndo tunajua kwnn ananiwekea ngumu, mm simtak nimeshafanya kosa na cwez kurudia kosa tena ctaman hata kumuona nataman hata nibadilishiwe afsa mwingine cjui kama itawezekana maana boss wao anaweza niuliza kwnn ubadilishiwe afsa nikakosa jibu...
  8. N

    Nimueleweje Mwanaume huyu

    Ahsante mkuu, sio kama namuonea huruma ila tatizo linakuja nikienda pale officn kwao yule boss wake atamuita na kumuuliza kwnn kadhindwa kunisaidia wakat yy ndo afsa wangu na ananijua vzr, Cjui atakua na jibu gani Ila ninachokiona hapo, bifu litakua kubwa na anaweza akavujisha siri ikawa tatizo...
  9. N

    Nimueleweje Mwanaume huyu

    Ahsante kwa kunifuatilia, yule jamaa nilimpotezea na sikuwah kumpa nilimblock namuda mrefu cjawasiliana nae, nilihamishwa kikaz yy yupo muheza mm nipo Morogoro Nasemaje mm nimetubu na kuokoka kabisaaa ni tamaa tu ya kutaka kujaribu nje lakin hakuna mpya na siwez Fanya hivyo tena.
  10. N

    Nimueleweje Mwanaume huyu

    Hbr wakuu, Nimerudi tena, baada ya kutanga na dunia nikakutana na mkaka mmoja tulikuwa marafiki kwa muda usiozid mwaka, jamaa huyu alikua ananitaka basi baada ya kumsumbua sumbua mwisho wa siku nikamkubalia akanigonga mala moja ila baada ya kutoka hapo nikamsaminisha na mume wangu yaan hawana...
  11. N

    Nahisi nina pepo la ngono. Mi ni mwanamke...

    Nakubatiza kwanzia Leo Tutakiuta Umberluty sawa mama, naona jina limekupendezea hilo. I,m sign out ngoja niwachole mnavyoteseka na shogaako lukole
  12. N

    Nahisi nina pepo la ngono. Mi ni mwanamke...

    We lukole tuliza mshono bas
  13. N

    Nahisi nina pepo la ngono. Mi ni mwanamke...

    We umberluty mbona unatesaka hivyoo
  14. N

    Nahisi nina pepo la ngono. Mi ni mwanamke...

    Mwenzio Nina good life sio ww kenge maji, tulia dogo bado hujakaribishwa humu usituchafulie hali ya hewa. Kahaba wa chichi ww
  15. N

    Nahisi nina pepo la ngono. Mi ni mwanamke...

    Nenda kadange mbele ya safari, MTU mwenyewe umejiunga Leo humu. Hembu tuliza usije ukakosa bwana bureee
Back
Top Bottom