Recent content by Not-Human

  1. N

    JamiiForums Tanzania Kwa jeuri hii bodi ya ligi na TFF hawako huru, hawako peke yao

    Siasa! Mwaka wa uchaguzi
  2. N

    JamiiForums Tanzania Hii 'Mashemeji derby' inaenda kufuta ule upuuzi wa Kariakoo

    Kila kitu kipo connected na siasa!
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa kaibiwa simu Kariakoo halafu kwenye laini yake ya Yas mixx kulikuwa na milioni 5, wameiba zote

    Ni mchongo! Aliyemuibia ni mtu wa karibu na anajua kila kitu,hela ,nida na namba ya siri ikibidi
  4. N

    JamiiForums Tanzania Karia: Wanaosema Bodi ya Ligi ijiuzulu timu zao uongozi upo sawa?

    Kwani mpira wa miguu ni Mali yake?
  5. N

    JamiiForums Tanzania Karia: Wanaosema Bodi ya Ligi ijiuzulu timu zao uongozi upo sawa?

    Hata inshu ya manara kumtukana yaweza kuwa yeye ndo chanzo,anajisahau sana yeye ni kongozi hatakiwi kuongozwa na hisia!
  6. N

    JamiiForums Tanzania Tanzania sio pango la wanyanganyi period Rais chukua hili kwa uzito mkubwa

    Uko Kweli aisee! Dunia imehamia kwenye umeme wa gas na solar hata magar na mitambo pia vinatumia umeme! Uarabuni wenyewe wameanza kuwekeza kwenye utalii! Rasimali za kweli ni technology tu, na bila kuwekeza kwenye research na mabadiliko ya mfumo wa elimu hatuwez toboa! Mbuga za...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Ikipendeza klabu ya Yanga impe mkono wa kwaheri kipa Mshery

    Yule dogo hata ukimwangalia huwa hayuko serious,hata game ilivyokuwa inaendelea yani huoni ile amsha amsha ya golikeeper,ukiangalia alivyoruka hata hakunyoosha mikono! Pale yanga kuna wachezaji wazawa wameridhika sana na wanabebwa kwa sababu walitufaa kipindi kigumu na pia huruma ya hersi ila...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Zamalek SC yapewa alama 3, Al Ahly hajatokea uwanjani kwenye Cairo derby

    Bahati mbaya hii bodi yetu yaweza kuwa ilipigiwa simu na wanasiasa kuhairisha.mechi hapo kazi ipo
  9. N

    JamiiForums Tanzania Kwa kipengele hiki Yanga hata waende FIFA hawatapewa point tatu

    Kwanza hiyo.sababu ya usalama bodi waliiitoa wapi wakati simba walilamika kuhusu kutokufanya mazoezi!
  10. N

    JamiiForums Tanzania Yanga yatoa msimamo mkali: Yadai pointi 3 kwa Simba, yakataa mechi ya marudio na kutaka Kamati ya Ligi Kuvunjwa!

    Uwanja haupo.chini ya yanga au haujui taratibu za mchezo! Mmekomaa kuhusu mabaunsa wa yanga utadhani yanga ndo alikuwa na funguo za uwanja
  11. N

    JamiiForums Tanzania Yanga yatoa msimamo mkali: Yadai pointi 3 kwa Simba, yakataa mechi ya marudio na kutaka Kamati ya Ligi Kuvunjwa!

    We unaamini uamuzi wowote wa bodi ya ligi ni sawa? Unaamini hakuna chombo,taratibu,miongozo,kanuni zinazoiongoza bodi ya ligi! Yani hata bodi ya ligi ikisema bingwa wa nbc ni kengold utaona ni sawa kisa ni bold ya ligi imesema
  12. N

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Simba Hongereni sana kwa kucheza hili vizuri, Ila Bodi mmejaa Vibaya sana

    Na bodi ya ligi wamelijua hili kwamba yanga kuna watu wa serikali wengi na pia hersi ana interest za kisiasa lazima atashinikizwa na akina mkuchika,mavunde, mwigulu akubali mechi irudiwe! Hana uwezo wa kukataa ndo maana ameshindwa kupost chochote! Wenzake wakamuwah kuonyesha msimamo wao akina...
  13. N

    JamiiForums Tanzania TFF na Bodi ya Ligi Kuu NBC hii aibu yenu mtaificha wapi?

    Uko sahihiiii sana! Hata pale simba wale akina magori ndo wameleta yote haya! Na tofauti ya yanga na simba ni management yanga vijana simba wazee!
  14. N

    JamiiForums Tanzania Ally Kamwe unasababisha baba yako ahojiwe mitandaoni na watu kumdhalilisha kwenye comments

    Ukiiangalia kwa jicho positive,inamsaidia yule mzee kupata dili za biashara zake,tena hawa wasemaji wangekuwa wajanja kupitia hizi club wangepiga sana hela
  15. N

    JamiiForums Tanzania Yanga tuwe imara, TFF inawaandalia ubingwa Simba Kwa kuinyongonyeza Yanga

    Kwa kikosi cha simba na jinsi wanavyocheza,na aina ya matokeo anayoyapata mara penalty,waamuzi kuwabeba! Ikitokea akachukua ubingwa ntaanza kuhisi bingwa huwa anapangwa na kuna uwezekano hizi mechi zinatumika kucontrol jamii! Labda sasa ni zamu ya simba awe bingwa
Back
Top Bottom