Recent content by NorthFace

  1. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Askofu Rweyongeza: Ripoti ya Chande imepikwa na watu wasiojua Hesabu

    Lini CCM ilitumia watu wenye akili? (VIJANA WENYE AKILI?)😁
  2. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna waziri ananunua mtaa mzima, vyombo vya usalama utafikiri hawajui!

    Hakuna viongozi waadilifu
  3. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wakili Mkude: Kesi inajadiliwa kwenye mitandao ya kijamii, mashahidi wanaitwa waongo. Hatukatazi kesi ijadiliwe lakini isiathiri mwenendo wa kesi

    Kesi ina sarakasi sana hii. mijadala ya mitandaoni itaathiri vipi majaji kufanya mamuzi
  4. N

    JamiiForums Tanzania Mtanzania anasema alipata $35,000 kuingia jeshi la Russia na analipwa $3,000 kila mwezi. Kwa gharama gani lakini?

    Maisha ni pesa. Wanaokwenda kupigana Vita Urusi wapo sahihi. Nani wa kukulipa Usd 3000 hapa Tanzania na degree yako?
  5. N

    JamiiForums Tanzania Mtanzania anasema alipata $35,000 kuingia jeshi la Russia na analipwa $3,000 kila mwezi. Kwa gharama gani lakini?

    Bora wao. Kama unasema anaweka rehani maisha yake, vipi angekuwa nyumbani na angekufa kwenye vurugu za Oktoba 29,maana kuna watu waliuawa wakiwa sebuleni wanaangalia TVs, kufa kupo tu, bora akaingize hela huko Duniani.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Video: Wakamatwa wakitengeneza 'Oil fake' za TotalEnergies

    Kariakoo zipo na jana wameenda...na ndo soko la kimataifa lile
  7. N

    JamiiForums Tanzania Swali chokonozi: Hivi bungeni Tulia Ackson anakaa kiti gani? Anagonga Meza naye?

    Anakaa nyuma ya Baba Levo,anapiga Meza...anacheka. Tafuta Video ambayo Baba Levo anasema "mie sikusoma siwezi kuwa waziri...."
  8. N

    JamiiForums Tanzania Bunge la 2025

    Hakuna Mbunge wa kuikosoa SERIKALI pale
  9. N

    JamiiForums Tanzania Wanaodaiwa kughushi nyaraka Bandari ya Dar kusomewa maelezo leo Januari 13, 2026

    Hawa sijaelewa. Walifoji documents na kuchukua mafuta au walifanyaje kupata bilioni 10?
Back
Top Bottom