Mke wa komba mpaka sasa anadai pesa iwe nyinyi? Hivi kweli utoke nyumbani Kwako kuita mkutano huo waandishi wa habari kisa kukanusa tu kulipwa au kutolipwa, nani kalipia huo mkutano wa wana habari? Naambiwa TV moja ni Laki na nusu radio 1 elfu 50 malipo yao
Huko Tokyo Japan, kumeanzishwa hotel ya kifahari yenye vyumba, vitanda na vito vya dhahabu kwa ajili ya mapumziko ya Mbwa.
Hotel hiyo ambayo inamilikiwa na Tajiri Okazaki nyamaota , ina chakula kizuri ikiwemo rost nyama, mabafu ya kuogea mbwa hao pamoja na sehemu ya kupata Masaji ya nguvu ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.