Kamanda Mh Peter Msigwa tunakutegemea Sana utuongezee Majembe ya kuja kuwalima mafisadi hapo oktoba na kuwachimbulia mbali. Wewe tayari ni waziri wa maliasili
Ukitaka kuwatwala watu kwa muda mrefu ktk hali ya udhalimu lazima mfumo wa elimu uvurugwe. Ndicho wafanyacho ccm na serikali yake. Wanawavuruga wasomi vyuoni hasa kupitia bodi ya mikopo.
Dhambi ya usaliti ni sawa na virusi vya ukimwi mpaka flash damu. Vivo hivyo ukombozi wa kisiasa lazima msaliti Zzk aondolewe ktk siasa.....
Siku zake huyo msaliti zinahesabika
Ccm wanatapatapa. Hawama lolote. Tutapambana nao kwa kila namnaHao ni wahuni wasio na maana. Safari hii hatutawavumilia nguvu ya umma itatumika sawasawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.