Recent content by Nono

  1. Nono

    KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

    Naamini Tundu Lisu ni mtu sahihi kwa sasa, kwa sababu Diplomasia ya Mbowe haiwezi tena kuisukuma CHADEMA mbele. Kazi waliofanya ya kukijenga chama nchi nzima, inahitaji mzizimo mpya wa nguvu ya umma kudai haki. Muda wa mijadala umekwisha, na kwa hakika Mbowe hawezi kuleta mzizimo wa aina ya...
  2. Nono

    Ni wakati muafaka wa kuachana na CHADEMA ya Mbowe. Mimi najitoa rasmi

    Ulikuwa wakati sahihi kwa Mbowe kuachia uenyekiti na kuwa mzee mshauri sasa. Hii nafasi imepotea, na sasa tutashuhudia kuporomoka kwa CDM kwenda mbele. It is very sad.
  3. Nono

    Ukweli mchungu: Mbowe akirudi madarakani, CHADEMA na viongozi wake watapoteza heshima na ushawishi

    Kwa kazi kubwa aliyoifanya ni wakati wake sahihi kuondoka.
  4. Nono

    LGE2024 Wagombea wa CHADEMA waenguliwa kwenye kinyang'anyiro kisa hawana kazi ya kuwapatia kipato halali

    Haki haiji ila kwa ncha ya upanga. Mnazidi kubembeleza sana. Kama mtaendelea hivi itawachukua miaka 500 kuleta mabadiliko ya kweli. Huu sasa ni ujinga kuamini kuwa taratibu zilezile zitaleta mabadiliko ya kweli.
  5. Nono

    Watanzania wenye uwezo kuwa CEO's wa multilateral companies tunakwama wapi? Kama Helios Towers Watanzania wameweza huko, kwingine tunakwama wapi?

    Miongoni mwa sababu ni pamoja na ile iliomtengua Tido Mhando TBC. Mashitika ya umma hayawezi kutengeneza faida, hata magereza haiwezi kulisha wafungwa, japo haiwalipi mishahara, na inawapa mlo mmoja na nusu kwa siku.
  6. Nono

    PreGE2025 Anna Tibaijuka: Kimfumo uwezekano wa kutangazwa mshindi ukitokea upinzani haupo

    Wamepanga sana nani awe mrithi. Ila kila zama hakuna liyefanikiwa kutinga ikulu. Mwinyi aliingia ndivyo sivyo, akaletwa Mkapa kwa Mbeleko ya Nyerere, Sumaye hakuamini JK alivyoingia, Magufuli kikawa kama kifurushi kutoka juu, Samia wakajiuliza kumbe katiba ina tobo kubwa kiasi hiki? Tujiandae!
  7. Nono

    Kuna cha kujifunza katika katiba ya Namibia hasa kipengere cha Rais, kimekaa kizalendo zaidi

    Kwa katiba yetu, fikiria jinsi Makamu wa Rais mlafi anavyoweza kula njama na kumuua Rais ili arithi. Katiba mbovu kabisa
  8. Nono

    Jerry Silaa: Marufuku Wananchi Kununua Ardhi ambayo haijapimwa. Kuanzia Sasa Ardhi itauzwa na Afisa Ardhi na Kampuni za Upimaji

    Wapeme kwanza, na sio kupiga filimbi zisizokuwa na wenyewe. Wapima ardhi ni wezi na matapeli wa kutosha. Kazi yao ni unyang'anyi usii na kifani
  9. Nono

    Jerry Silaa: Marufuku Wananchi Kununua Ardhi ambayo haijapimwa. Kuanzia Sasa Ardhi itauzwa na Afisa Ardhi na Kampuni za Upimaji

    Aache ujinga huyu waziri. Migigoro ya ardhi iliyosababishwa na atdhi ni kibao. Wameshindwa kuitatua, sasa waachiwe wauze Tanzania nzima kweli.
  10. Nono

    Ndugu yangu ukipata fursa tembelea Ethiopia hakika hutajutia nauli yako

    Usiendeshwe na mihemuko ya kingino. Wanawake wengi wazuri hawakuwahi kuolewa. Uzuri wa ngozi sio uzuri na utamu wa nyama, wala upole wa mnyama husika. Tulia tafuta mwanamke mwenye nidhamu, heshima na busara, utaishi maisha marefu. Zaidi utajenga uchumi wako na kuchangia uchumi wa taifa.
  11. Nono

    Usishabikie upinzani kama hujui mambo haya

    Upuuzi kutoka kwa mfaodika wa upuuzi. Wamarekani wanaamini ubepari achilia mbali uliberali. Ujamaa ulifanikiwa wapi? Wachina wenyewe uliwashinda. Rubish at its scale
  12. Nono

    Spika Tulia: Tusichanganye Maadili ya Mtanzania na Imani za kidini. Lipi kosa la walimu waliosimamishwa kazi Kwa kucheza muziki? Warudisheni kazini

    Uamuzi wa kumuondoa mwl mkuu kwenye nafasi yake ulikuwa uamuzi wa kijinga na kipumbavu. Hivi ungemuuliza huyo Mkenda, wale watoto walivyokuwa wanacheza kwa miondoko ile, walifundishwa siku hiyo? Utandawazi ndivyo ulivyo na hauna nafasi kumsubiri mpumbavu mmoja hadi akae sawa. Mwl arudishwe...
  13. Nono

    TRA yotoa ufafanuzi wa madai ya kutengeneza mfumo wa kuingiza mizigo nchini usio halali

    Mtu aandike barua Feb ajibiwe Aug?? Mie?i 7 baadae. Hapa iko shida kubwa
Back
Top Bottom