Haija rootiwa. Kuna maelezo nilipata yanasema s7 edge ya 2016, Samsung walishazitoa kwenye update za android. Kwaio hazipati masahihisho ya android.
Kama kuna namna ya kufanya ili nipate kui-update naomba maelezo.
Shukrani.
Habari...
Naomba maelekezo kuhusu namna ya ku-update android ya simu yangu.
Simu yangu ni samsung S7 Edge ya 2016 ina android version 6.0.1
Shukrani.
Chief-Mkwawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.