Asante kwa kaz yenu nzuri. Swali langu ni kuwa, mgonjwa anapoambiwa alete damu(watu wa kuchangia damu) damu anayoongezewa mgonjwa inakuwa ni ile iliyoletwa na watu wa mgonjwa?
Nina mgonjwa katika hospital ya litembo iliyoko wilayan mbinga mkoa wa ruvuma, mgonjwa wangu amefanyiwa upasuaj...
Gunia za huku kilo 100 mpaka 130. Kwa sasa ananunua kwa elf 90 gunia moja. Gunia hilo hill anauza kwa elf 45. Adai lengo ni kusaidia wananchi. Mim batokea kwenye kijij hicho. Kwa kifup maajabu yapo
Ni kweli uhamisho wa watumishi wa umma umefutwa hapa nchini tz?
tangu rais aingie madarakan nimeona stahiki ya kuhama inapuuzwa ilihali watu wanamatatizo ya kiafya nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.