Je, unatafuta pikipiki bora ya umeme Dar es Salaam na Tanzania kwaujumla kwa ajili ya kurahisisha huduma za delivery? Kama wewe ni mfanyabiashara, unajua kuwa kikwazo kikubwa cha faida kwa sasa ni kupanda kwa bei ya petroli. Lakini je, unajua kuwa kuna pikipiki inayookoa gharama za service na...
Kiuhalisia hakuna gari la umeme la 4.5M labda toy la watoto. Ukweli mchungu huwezi kupata pikipiki ya umeme yenye mid-motor Tanzania kwa Tsh 4.5M Tanzania tofauti na #Oasispayless, hiyo 4.5M ni uwekezaji ambao utakulipa mara dufu ndani ya mwaka mmoja tu.
Ni kweli kabisa mkuu, lakini haiondoi ukweli kwamba kuna watu wanatumia zaidi ya 450k kwenye mafuta kwa mwezi, hata hiyo 60k pia nayo gharama ambayo unaweza kuiokoa. Karibu sana mdau ujipatie chombo.
Mipango ya Mungu ni potential tu na si reality ya Lazima
Waza ulimwengu kama Bahari. Mungu amepanga bahari iwe na maji, mawimbi, na upepo (Hiyo ndiyo mipango yake).
Usipojitune (usipoweka tanga la mashua yako vizuri), upepo utabaki pale pale, lakini wewe hutaenda popote.
Mipango yake...
Mkuu, nakushukuru kwa hoja yako. Ni kweli kabisa, kama unachukua pikipiki ya umeme ya "kawaida" na kutaka kuipandisha milima ya Mbeya au kubeba magunia ya viazi, utaona mzigo mzito. Lakini tatizo siyo ''Umeme'', tatizo ni Aina ya Mota (Motor Type) inayotumika.
Watu wengi wanashindwa kutofautisha...
Ni kweli kabisa mdau, Ndomaana sisi kama #OasispaylessEnergyTanzania tukaja na suluhisho kwa bodaboda, nalo ni pikipiki za umeme ambazo zinaokoa pesa ambayo inapotea kwenye vituo vya mafuta, na kuzirudisha kwenye ujenzi wa uchumi binafsi wa familia na nchi...
Tupigie Sasa 0671512733
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.