Sio kwel, platform zote unaweza kuuza na kununua bidhaa, kikubwa ni yeye kufanya mawasiliano na kampuni husika Ili apewe utaratibu wote jinsi ya kufanya nao biashara,
Platform ni kwaajili ya kumkutanisha mteja na Muuzaji
Mtoa maada kaomba njia na vitu vinavyohitajika Ili aweze kupekega mzigo nje ya nchi, wew unakuja unamkatisha tamaa, kama huwezi kumsaidia kausha , watu wengi wanajifunza humu
Venus mimi nimefuatilia makala zako sana,
Vitu vilivyonivutia niendelee kukufuatilia ni hivi hapa,
1. Maandiko yako hayafungaman na dini yoyote,
Unajua watu wanachanganya iman na dini, kitu ambacho ni tofaut kabisa, unaweza enda siku kanisani na usikuwe kiiiman,
Mimi ni mtu nayeamin mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.