Recent content by noel mukusu

  1. N

    Dada zangu wa kichaga jisafisheni kimapenzi maana sehemu kubwa ya jamii inawaogopa kimapenzi

    Na wanyaki nao wanachangia mada? Hahahahahahaha hawana lolote hawa wao ni mapenzi tu mapenzi na wao utasikia ooooo eti ameshere/changia mama, kila mjumba kule kwao utasikia ni wa mama fulani
  2. N

    Dada zangu wa kichaga jisafisheni kimapenzi maana sehemu kubwa ya jamii inawaogopa kimapenzi

    Kwani umelazimishwa kuoa? Kwani licha ya kusemwa hivo ni kweli kuwa hawaolewi? Kama hutaki acha wengine wanaoa na wanapata maendeleo, sijawahi kuona mmachame anayemlazimisha mwanaume amuuoe kama hutaki chapa lapa, hawa watu wa porini wana tabu sana, kwanza hata wazazi wa watoto wao wachaga...
  3. N

    Ujumbe ktk wimbo wa bahati bukuku-dunia haina huruma

    Kwa hiyo anatufundisha tukipata matatizo tumtumikie shetani ili kutafuta suluhu ya matatizo husika?
  4. N

    Ujumbe ktk wimbo wa bahati bukuku-dunia haina huruma

    Huwezi kutumia dhambi ili kutibia dhambi. Akajipange upya kwanza anadanganya kwa kutumia neno la Mungu
  5. N

    Elimu jinsi ya kupost

    Facebook
  6. N

    Elimu jinsi ya kupost

    Watu wengine wanalalamika juu ya kushindwa kupost kitu humu so ingekua vizur tungepata japo kaelimu kidogo
Back
Top Bottom