Kiukweli tunahitaji kupaza sauti zetu zaidi na ikibidi hatua tuchukue sisi wenyewe wananchi. Pasipo kutegemea wanasiasa ambao ni wanufaika wa haya matukio dhidi ya raia wengine wenye mtazamo tofauti na wao.
Ndugu zangu, kuna haja ya kuchukua hatua dhidi ya watu wasio julikana ama wale wanaokuja kwa njia ya askari polisi. Wanakuchukua kisha wanakuua alafu hakuna jitihada zozote kutoka kwa vyombo vyetu vya usalama.
Hii inatosha ama mnataka nani atekwe kisha ndiyo tuje kuona kazi nzuri ya serikali...
Na huu pia ni walaka kama wa TEC ikibidi ndugu zetu waelewe,linapokuja swala la mambo muhimu yenye maslahi kwa taifa inabidi tuwe kitu kimoja. Pasipo kutumia mwanya huohuo kuingizia mambo ya Udini ili kututoa katika lengo la msingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.