Recent content by Noel france

  1. Noel france

    JamiiForums Tanzania GE2025 Lolote litakalonikuta Oktoba 29, 2025 waambieni watoto wangu nilipambana kuitafuta haki na uhuru

    Sawa mpumbavu wewe na Chama chako cha majambazi
  2. Noel france

    JamiiForums Tanzania GE2025 Lolote litakalonikuta Oktoba 29, 2025 waambieni watoto wangu nilipambana kuitafuta haki na uhuru

    Mimi nimekwisha sema na imeisha,sitakuwa na cha kupoteza zaidi ya familia yangu ambayo watakuja kunufaika kwa kupata uhuru wa kweli. Ni mara kumi nife nikiwa nimetoka na kushiriki katika mageuzi ya kuidai uhuru wa mtanganyika kuliko kufa katika mikono ya unafiki ama manyangau wakina abdul na...
  3. Noel france

    JamiiForums Tanzania GE2025 Majizzo apata ajali mbaya akiwa kwenye kampeni za CCM Zanzibar, wawili wafariki

    Novena inafanya kazi yake
  4. Noel france

    JamiiForums Tanzania GE2025 Lolote litakalonikuta Oktoba 29, 2025 waambieni watoto wangu nilipambana kuitafuta haki na uhuru

    Mimi 29/10/2025. Naomba mnizike pamoja na bendera ya Tanganyika. Kisha waambieni watoto wangu nilipambana kuitafuta HAKI na UHURU. Mimi Noel naahidi mbele yenu na pia nitakuwa tayari kufa ili mradi haki na uhuru inakuwa ni sehemu yetu salama. Ewe mwenyezi Mungu nisaidie. Amina
  5. Noel france

    JamiiForums Tanzania Nini hatima ya watanzania, Inatosha sasa! Yaliyosemwa na Dkt. Slaa na Polepole yanaumiza

    Kutokana na uchungu na uzalendo tulitamani kuona wakijichukulia sheria baada ya kuona wamekosea
  6. Noel france

    JamiiForums Tanzania Nini hatima ya watanzania, Inatosha sasa! Yaliyosemwa na Dkt. Slaa na Polepole yanaumiza

    Walau ametambua makosa yake na kisha ameomba radhi kwa watanzania. Kwa hiyo hatupaswi kumpuuza kama wewe
  7. Noel france

    JamiiForums Tanzania Nini hatima ya watanzania, Inatosha sasa! Yaliyosemwa na Dkt. Slaa na Polepole yanaumiza

    Kwa yanayoendelea huko kwenye mitandao ya kijamii CDF nakuita kwa mara nyingine take over now.
  8. Noel france

    JamiiForums Tanzania Nini hatima ya watanzania, Inatosha sasa! Yaliyosemwa na Dkt. Slaa na Polepole yanaumiza

    Ameandika Rais wangu wa TLS BADALA YA KUTUNIA NGUVU KUBWA KUBAMBIKANA MA KESI YA UHAINI NGUVU HII TUNGETUMIA KULINDA RASLIMALI ZA TAIFA. Ulinzi na usimamizi endelevu wa rasilimali za asili za Tanganyika ni suala la kufa na kupona. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sheria...
  9. Noel france

    JamiiForums Tanzania Nini hatima ya watanzania, Inatosha sasa! Yaliyosemwa na Dkt. Slaa na Polepole yanaumiza

    Ninachokiona kunashida ya swala zima la uzalendo kwa viongozi wetu,ndipo tunaona hii linapelekea kuanza kuhoji anapotoka kiongozi husika ndipo tunabaini si mtanganyika ndiyo maana anawajika katika kuhujumu upande mmoja na kwenda kupanufasha upande atokapo
  10. Noel france

    JamiiForums Tanzania Nini hatima ya watanzania, Inatosha sasa! Yaliyosemwa na Dkt. Slaa na Polepole yanaumiza

    Hii Hii ndiyo maana halisi ya kuomba cdf kutake over
  11. Noel france

    JamiiForums Tanzania Nini hatima ya watanzania, Inatosha sasa! Yaliyosemwa na Dkt. Slaa na Polepole yanaumiza

    Natambua ujumbe umemfikia,
  12. Noel france

    JamiiForums Tanzania Nini hatima ya watanzania, Inatosha sasa! Yaliyosemwa na Dkt. Slaa na Polepole yanaumiza

    Hiki kiburi kina mwisho na umekaribia
  13. Noel france

    JamiiForums Tanzania Msaidieni apumzike. Yanayoendelea hayana comeback

    Huu ndiyo ukweli,nyepesi nyepesi nasikia mh mstafu ndiyo anamtoa moyo kuendelea kuwepo pale
Back
Top Bottom