Recent content by Nobody loves me

  1. N

    Hoteli mpya Tanzania, wateja hulipa shilingi milioni 22 kwa usiku mmoja

    Ninani anatangaza biashara yang bila kumpa ruksa??? [emoji3][emoji3][emoji3]
  2. N

    Spare parts aina zote za magari makubwa

    Zakwan AUTO spares. Tunauza spare za magari aina ya SCANIA ,DAF ,IVECO STRALIZ ,MERCEDEZ BENZ, VOLVO ,MAN na nyengine zaid.. Geniun spares..! Tupo buza yombo na temeke...! Unaweza pia kutupigie tukakuletea spare pale ulipopata breakdown na kwa muda wowote hata usiku.. Kwa mawasiliano zaid piga...
  3. N

    Jaji huyu achunguzwe haraka

    Kama ni mtanzania aliefanya hvyo ungeskia kapotelea jela na faini kibaoo..
  4. N

    Land cruiser inauzwa

    Kweli mkuu kweny hizi public forums tunakutana na watu wa aina nyng kuna mpka vichaa humu.. Inabidi tukiwagundua tuwakwepe
  5. N

    Land cruiser inauzwa

    Nashkuru kiongozi.. Mwema ni ww
  6. N

    Land cruiser inauzwa

    Sasa niskilize nikwambie hvy hvy nilivyoweka na gari nimeuza.. Aliekuwa na nia ya gari niko nae hapa anaicheki anipe vyuma tu ww kama pyuuu zako hizo
  7. N

    Land cruiser inauzwa

    Hao ww wenye maneno ya kuharibu wiki ndio sisi ila tunatumia ustaharabu.. Mbna na mm nimempa maneno ya kistaharabu tu kama ningemla maneno ya kashfa wee wafkiri angekuwepo humu?
  8. N

    Land cruiser inauzwa

    Hahahah hata sijui ndio nini
  9. N

    Land cruiser inauzwa

    Kiukweli umeharibu siku yang. Naomba tu kujua wewe ni dumee au demuu nijue kama ni demu nisipoteze muda wangu
  10. N

    Land cruiser inauzwa

    Achana nae huyo kaka atanisumbua tu.. Ukishamuona mtu ana maneno mengi ujue hana hela atakuja kunitilia gundu tu..! Hata akija sitomuuzia akae na ujeuri wake. Halaf anatoa majibu ya kunya kwa mtu asiyemjua ATAPOTEA.
  11. N

    Land cruiser inauzwa

    Boss nitxt mimi maana naona sikuoni whatsapp.
  12. N

    Land cruiser inauzwa

    Njoo uone gari brother.. Shida tu zinabikabili
  13. N

    Land cruiser inauzwa

    Kwani hapo huoni picha?? Nimesema picha zaidi ni whatsapp. Acha uchawi na biashara za watu ,wenye hela hawaongei unaongea ww, wala usiamshe madudu yaliolala hutajitoa jamii forum kabisa.
  14. N

    Land cruiser inauzwa

    Landcruiser mashine 1hz bei ni 12m namba ya simu 0678737876 kwa picha zaidi nicheck whatsapp.
  15. N

    Ushauri: Mdudu kidoleni

    Mdudu yupo ndani ya kidole au kidole kipo ndani ya mdudu??
Back
Top Bottom