Uongo kama huu ndio siupendagi....nimesoma hadi aya ya pili nikaona maneno ya uongo na Mimi km kawaida Yangu nikishaona uongo mwanzoni huwezi kunishawishi kwamba sehemu inayoendelea itakua ya ukweli.....
Hata mwenye ukimwi atakuja atakuambia hana ngoma....utaenda nyama kwa nyama mwisho wa cku mtakua mmeshagawana pension....kisa mnaaminiana....jipendeni wanaume na mkue na akili.....
Tanzania ni nchi yenye uchumi uliodumaa, yeye ni mbunge anategemea pesa kutoka serikalini afanye marndeleo jimboni kwake....msitegemee miujiza kutoka kwa wabunge wenu..by the way Singida acheni kupuliza mnalogana hata watu hamtaki wasome....hao si ndio wataleta maendeleo nyumbani kuliko...
Wacha maneno sasa weka na mchoro kabisaa.....roho mbaya haijengi, usiendekeze siasa za vyama....mpongeze mwenzio anapopiga hatua....kama wewe una vigezo ungeenda kuchana nae sasa maana wewe ungeweza kuleta mabadiliko hayo unayoyaota, km kitu hukiwezi basi waachie wanaokiweza.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.