Recent content by no id

  1. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Alinisaliti, kasikia naenda chuo anavizia boom langu

    Kama kateka moyo wako ripoti kwa mamlaka zinazohusika. Utekaji ni kosa kubwa kisheria nchini kwetu, acha sheria ichukue mkondo wake.
  2. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wanaojiona warembo sana huishia kusimamia harusi za wenzao wengi hawaolewi

    Kuna watu makini jamani!!👏👏
  3. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tecno mobile Mega Thread

    Msaada kwa anaejua namna ya kuswitch off tecno m6 wakuu. Niki press power button for like 3 seconds, zinakuja option mbalimbali, mojawapo ikiwepo kialama cha kuswitch off, ila nikiclick hakifanyi chochote. Also nikishikilia hio button ya power kwa muda mrefu simu inaji restart tu.
  4. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada jamani...Mwenye kuelewa jinsi ya.....

    umeshajaribu hard format ukiwa haujaiwasha?
  5. N

    JamiiForums Tanzania Purple Corns in Thailand.

    Yapo kibao mkuu,hutumika kama dawa ya tumbo na wengine
  6. N

    JamiiForums Tanzania Hapa wapi jamani?

    No idea but place looks legit
Back
Top Bottom