Hivi ni kwa nini unakuwa mgumu kuelewa, umeambiwa kuwa, uandike kwa mkono ama utype yote kheri ili mradi ukidhi vgezo. Mbona unang'ang,ania kusema iandikwe kwa mkono? Mimi mwenyewe nimetype mara zote na nikaitwa usaili hata kesho naenda usaili kwa barua niliyotype.