Ama hakika kweli huwezi amini kama Mungu yupo kama hujapitia katika hali ngumu ,mkumbuke niliwahi kuja na uzi Inasikitisha: Nimefanya mapenzi na mwanamke mwenye UKIMWI kwani ilinilazimu nitumie vidonge vya PEP.
Hakika nimepitia wakati mgumu sana. Niliandika kwa huzuni sana ule uzi.
Leo hii...
unampez wako Mara unaskia unaambiwa Wang nipe hela nilipie nguo nimeshona kwa fundi hata hujamtaarifu ,swali je?umeajuaje kama atakuwa nayo hiyo hela unayodaiwa na huyo fundi kwangu binafsi hiyo nachukulianga zarau na always siwez kukupa kwani ni picha mbaya inaashiria utakuwa na deserve...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.