Recent content by Nkwabichalleslutonja

  1. N

    Mungu mkubwa; Nimekuta sina maambukizi ya VVU baada ya kulala na muathirika

    I'm assistant laboratory graduated kwa hiyo issue kama hizi kwangu ni kawaida sana mkuu
  2. N

    Mungu mkubwa; Nimekuta sina maambukizi ya VVU baada ya kulala na muathirika

    Ama hakika kweli huwezi amini kama Mungu yupo kama hujapitia katika hali ngumu ,mkumbuke niliwahi kuja na uzi Inasikitisha: Nimefanya mapenzi na mwanamke mwenye UKIMWI kwani ilinilazimu nitumie vidonge vya PEP. Hakika nimepitia wakati mgumu sana. Niliandika kwa huzuni sana ule uzi. Leo hii...
  3. N

    Hivi vizinga wadada wananyopiga sio sawa

    unampez wako Mara unaskia unaambiwa Wang nipe hela nilipie nguo nimeshona kwa fundi hata hujamtaarifu ,swali je?umeajuaje kama atakuwa nayo hiyo hela unayodaiwa na huyo fundi kwangu binafsi hiyo nachukulianga zarau na always siwez kukupa kwani ni picha mbaya inaashiria utakuwa na deserve...
Back
Top Bottom