hahahahahahauah bro kwenye delta force hata ingekuwa siku ya idd wangefanya kazi tyuu, hivi wale mbwa waliokuwa wanadai password wamepewa?? kenge maji kabsa
kabsa naunga mkono hoja, kigoma na ziwa tanganyika ni mali ya burundi akiwemo na zitto, mto kagera ni wa uganda, tuache ulafi tuwarudishie vitu vyao, vina faida gani kwetu?? wachukue tyu
hilo ziwa ni la malawi kama ilivyo kigoma ni ya burundi na kagera ni ya uganda, yaani huwa wapuuzi wanaoropoka ovyo daily hapa nchini watapigwa mande haijawahi kutokea, wakati malawi wanadhibiti ziwa, burundi muda huo watakuwa wanaichukua kigoma na ziwa lote la tanganyika, wakati huo muhooze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.