Kama kuna wanaolalamikia katiba hii tuliyonayo kwamba ni batili (kutokana na ulivyosema), basi hiyo ibara ya 98 aina maana. Kwa hiyo vile vile alivyoamua Nyerere (kama Rais) kuandika katiba tuliyo nayo (ambayo inalalamikiwa) ndivyo alivyoamua Kikwete (Rais) kuanzisha mchakato wa katiba mpya...
Badala ya kuquote kitabu cha Dr. Ghassany, unaweza kutoa majibu juu ya maswali yaliyoulizwa na Wickama, Nguruvi3 na Yerricko kuhusu mapinduzi? Samahani kama nitakuwa nimekukwaza kwa swali hili.
Mfumo kristo upo Dunia nzima (Haukuanzia nchini kwetu) ukitoa nchi zenye mfumo Islam. Hii inatokana na uenezaji wa hizi dini kati ya wakoloni ((Waislamu (Waarabu)) na Wakristo ((Wamagharibu)). Wakristo walieneza dini kwa kujenga mashule, mahospitali na kadha wa kadha kuelimisha jamii husika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.