Jamani hivi ile jingle baada ya habari ya saa mbili na nusu usiku ilikuwa inasemaje maana nilikuwa nasikiliza kwa makini lakin naishia kupata neno rfa tu
Mwenye kutaka rafiki asiye kuwa na Dosari, basi ataishi mpweke daima.
Mwenye kutaka Mke au Mume ambaye hana mapungufu, ataishi bila ya kuoa au kuolewa mpaka siku ya kufa kwake.
Mwenye kutaka ndugu asiye kuwa na matatizo, ataishi akimtafuta milele.
Mwenye kutaka mtu wa karibu aliyekamilika...
Hatimaye kilele cha tamasha la Tigo Fiesta kufanyika Desemba 22 mwaka huu ikiwa ni takribani mwezi mmoja tangu liahirishwe na waandaaji wake saa chache kabla ya kufanyika.Tamasha hilo lililopaswa kufikia tamati Novemba 24 baada ya kuzunguka kwa miezi mitatu katika mikoa 14, liliahirishwa baada...
*Mkuu wa chuo cha kidini ya Thanawi cha Nyakato Islamic Institute kilichopo chini ya Taasisi ya Elimu ya The Registered Trustees of Islamic ya jijini hapa, Sheikh Bashir Gora anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana.
Akizungumza na Mwananchi katika ofisi za Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.