Niliwahi kusema kuwa kama hawa waliopewa nafasi kuongoza kurugenzi mbalimbali za TFF kama wamepewa kwa kuwa ni wahaya basi Jamal Malinzi amekosea sana. Lakini kama wana sifa stahiki Basi tuache uchochezi wa kikabila na udini ambao nchi yet ilishasahau
Naomba kujua timu za KCC name URA zina wachezaji wangapi kwenye timu ya Taiga ya Uganda iliyoko RSA kwrnye mashindano ya CHAN
Tusije tukawa tunajidai kuzifunga timu zenye upungufu Wa wachezaji bora
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.