Recent content by Nkerebhuke

  1. N

    JamiiForums Tanzania Kile kikosi chetu Cha JW kilichowapa raha M23 mnamo mwaka 2013 Kiko wapi?

    Unafahamu kuwa mwaka ule mwakiborwa alipewa nishani ya mpiga mizinga Bora, usije kuwa underrate JW kwenye medani hata kidogo, kwenye op, vitu vingi tulifanya sisi, intelligence, logistics, strategies zilikuwa chini yetu. Artillery baadhi zilitoka kwetu. Kwa sasa hakuna jeshi ambalo hawana mobile...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kile kikosi chetu Cha JW kilichowapa raha M23 mnamo mwaka 2013 Kiko wapi?

    Watu wengi wanatamani kuona vijana wetu wakiingilia kati aggression ya M23 inayoendelea nchi ya congo. Conspiracies zimekuwa nyingi mno kujua nikwanini vikosi vyetu havijaingilia kati kwa sasa. Natamani kujua ukweli dhidi ya huu uonezi, na kwanini vikosi vya M23 vinapata ushindi kirahisi sana.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kuna shida gani Tanzania ikitangaza rasmi kuisaidia Congo kupambana na M23? Tuna Viongozi wa namna gani?

    Ujuaji huu hii nchi hii Ina vijana wa hovyo sana, civilian anatoa maoni ya kijieshi
  4. N

    JamiiForums Tanzania JWTZ cyber warfare unit

    Wewe dogo acha ujuaji as if jeshi la Rwanda unalijua vizuri ndani na nje ya ulinzi na uwanja wa medani. Software engineer wapo wengi sana na cyber units zipi zaidi ya moja. Nawashangaa sana watu mnaobeza ni wivu tu zinawasumbua hamjui lolote ujinga tu
  5. N

    JamiiForums Tanzania Muuza madafu: Mimi mwenyewe nilipomuona yule Komandoo nikagundua nimefanana naye, ila Siyo Mimi japo nacheza Kareti na Boxing!

    Usije kudharau Nchi yako japo changamoto zipo, askari wa Marekani hua wakuja kutrain na maofisa wetu hapa usifikili niwajinga.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Muuza madafu: Mimi mwenyewe nilipomuona yule Komandoo nikagundua nimefanana naye, ila Siyo Mimi japo nacheza Kareti na Boxing!

    Ma CDO wengi wanaishi in disguise unaweza mkuta na ndevu au mtu simple akikupita pengine unaweza usiamini
  7. N

    JamiiForums Tanzania Muuza madafu: Mimi mwenyewe nilipomuona yule Komandoo nikagundua nimefanana naye, ila Siyo Mimi japo nacheza Kareti na Boxing!

    Una dharaua sana dogo Una dharau wakati nyumbani kwako huwezi kuua hata mjusi, watu kama wewe ni watu mlienda shule kujifunza ujinga.
  8. N

    JamiiForums Tanzania Muuza madafu: Mimi mwenyewe nilipomuona yule Komandoo nikagundua nimefanana naye, ila Siyo Mimi japo nacheza Kareti na Boxing!

    Ukiwa in denial nivigumu kuamini hata unachokiona kwa macho yako mwenyewe.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Muuza madafu: Mimi mwenyewe nilipomuona yule Komandoo nikagundua nimefanana naye, ila Siyo Mimi japo nacheza Kareti na Boxing!

    Haina mjadala tena huyo ndio yeye mwenyewe captain ambae pia ni CDO. Ukifika cheo cha captain unaweza kupewa jukumu ambalo ukitaka kufanikisha kitu unakuwa ni disguise. Yupo ambae aliwahi kuact kama kocha wa mpira kilichofata ni historia, yupo aliact kama muuza dagaa kigoma, mafuta ya mawese na...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Je, Israel ana combat superiority dhidi ya Iran?

    Military actions are not for granted unless you want to go to hell. Usipende kujadili vitu kwa hisia kama kweli ulienda shule kujifunza namna ya kutumbua mambo. Hakuna anayeweza kuingia vitani kama ng'ombe kwa dunia ya leo ndio maana Marekani alionya Israel akijibu mapigo basi ayanywe mwenyewe...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Je, Israel ana combat superiority dhidi ya Iran?

    Huwezi kupata taarifa rasmi kama huna independent mind kwa sababu kwenye media kuna biases nyingi sana. Maana yangu ni kwamba ukiwa umechukua upande ukikutana na taarifa tofauti ni zile unazotaka wewe utaona uzushi. Kwa mfano mgogoro wa mashariki ya Kati ni sehemu yenye propaganda nyingi sana...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Je, Israel ana combat superiority dhidi ya Iran?

    Hufahamu kuwa kuna media bias pia, mfano aljazera wako symphasized na palestine unaweza kuwa misinformed kama huna independent mind. Misconception inatokea mara nyingi ukiwa unataka taarifa za upande mmoja.
  13. N

    JamiiForums Tanzania Je, Israel ana combat superiority dhidi ya Iran?

    Wewe hizo data umezipata wapi mbona hujaweka kumbukumbu rejea au ni maoni yako.
  14. N

    JamiiForums Tanzania Nani anastahili huruma kati ya Israel na Palestine?

    Sina maelezo mengi wote wenye akili timamu tumeona biasness, hypocrites, na double standard nyingi kwenye huu mgogoro. Media coverages ni full of biasses kila mmoja amechukua upande, je nani anastahili huruma. Alianza kushambuliwa israel kisha akajibu mapigo je who deserve sympathy.
  15. N

    JamiiForums Tanzania Kuna nchi Afrika Mashariki inayomiliki ndege za kivita zisizotumia rubani?

    Wewe dogo unaakili au ulienda shule kujifunza ujinga, unafikili jeshi la wananchi hajui mahitaji ya technologia ya vita, nenda kikosi cha mzinga uangalie vijana wanafanya nini pale. Chuo cha maofisa TMA unafikili kuja wajinga pale, nakuambia sasa chuo cha maofisa kuna watu wanaakili pale wewe...
Back
Top Bottom