Recent content by Nkarahacha

  1. Nkarahacha

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mkuu wa Shule ya Sekondari Bakoba anajinufaisha na vifaa vitolewavyo na Wazazi kila mwaka

    Katika shule ya sekondari Bakoba iliyopo kata Bakoba Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera imekuwa na utaratibu wa kuaagiza wanafunzi wote karatasi za Rimu kuripoti nazo kila mwezi Januari kama ilivyo kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza wanaokuwa wanajiunga na masomo. Chazo chetu kinasema licha ya...
  2. Nkarahacha

    JamiiForums Tanzania Faris Buruhan aangukia pua kura za maoni CCM Bukoba Vijijini ,Dkt Rweikiza apeta

    Labda kama ameshinda njaa
  3. Nkarahacha

    JamiiForums Tanzania Faris Buruhan aangukia pua kura za maoni CCM Bukoba Vijijini ,Dkt Rweikiza apeta

    Ndg,Faris Buruhan ameshindwa katika kura za maoni Bukoba Vijijini kwa kupata kura 4619 nyuma ya mbunge aliyepo Dkt Jasson Rweikiza aliyepata kura 6465 .
  4. Nkarahacha

    JamiiForums Tanzania MDAU AMSHUKIA JUMLA JUMLA KARAMAGI

    MDAU Mimi kama mwana chama wa ccm na kiongozi mwakilishi wa uvccm ngazi ya wilaya Bukoba vijijini , Natoa Rahi kwa Ndg KARAMAGI kuwa tabia zake za kuvuruga Jimbo letu la Bukoba vijijini tumezichoka na zimekuwa za muda mrefu, anaunda vikosi vya kutukana viongozi wetu wa serikali na chama...
  5. Nkarahacha

    JamiiForums Tanzania MDAU AMSHUKIA JUMLA JUMLA KARAMAGI

    MDAU Mimi kama mwana chama wa ccm na kiongozi mwakilishi wa uvccm ngazi ya wilaya Bukoba vijijini , Natoa Rahi kwa Ndg KARAMAGI kuwa tabia zake za kuvuruga Jimbo letu la Bukoba vijijini tumezichoka na zimekuwa za muda mrefu, anaunda vikosi vya kutukana viongozi wetu wa serikali na chama...
  6. Nkarahacha

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Polisi kamateni Faris Burhan Mwenyekiti UVCCM Kagera kufuatia kutekwa kwa Mdude

    Polisi hampaswi kujiulizauliza mtu wa kuanza nae ni Farsi Burhan Mwenyekiti wa Uvccm mkoa wa Kagera ambaye mwaka jana alijitangaza kuanza kuteka watu na kuwaonya kuwa inaootokea mtu akatekwa polisi msimtafute. Anza na huyu mtekaji akiyejitangaza hadharani jamani huenda ndo yupo nyuma ya...
  7. Nkarahacha

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya Habari Redio na TV havina mpango na kumbukizi ya kifo cha John Magufuli

    VItuo vya Tv na Redio ukitazama au kusikiliza huwezi kusikia kiashiria chochote kuhusu siku ya leo ikiwa ni kumbukumbu ya miaka minne ya kifo cha John Pombe Magufuli ila mitandao ya kijamii kila sehemu lazima ukutane na taarifa hii. Serikali nayo kama haijui kinachoendelea labda kiongozi mmoja...
  8. Nkarahacha

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya Jeshi la Yemen kuhusu kulengwa kwa shehena ya ndege ya USS Harry Truman kujibu uchokozi wa Marekani - Machi 16, 2025

    Enzi hizi sio za Biden, ni za kichaa Trump ,hapo kuna dozi inaandaliwa kwa ajili ya Iran maana vikosi vimeruhusiwa kushambulia hata bila kuomba idhini kutoka Ikulu pia Meli za Iran zilizopo Yemen muda wowote zinaweza shambuliwa
  9. Nkarahacha

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Safari ya rais wa Burundi Kinshaza, yazua gumzo

    Yule sio rais ni bwege mmoja alopata nafas ya kuiongoza DRC sasa wanakwenda kumpindua
  10. Nkarahacha

    JamiiForums Tanzania Makampuni ya Utapeli ya kutoa Mikopo yashtakiwe

    Kampuni zilizokuwa zikitoa mikopo kwa wananchi bila vibali na kwa riba kubwa zinapaswa kushitakiwa kwani walichokuwa wakikifanya ni utapeli kama utapeli mwingine. Pia kwanini utapeli na wizi vimeongezeka kipindi hiki cha serikali ya awamu ya sita? Je,wahusika wa hizi kampuni wanaweza kuwa...
  11. Nkarahacha

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti CCM mkoa wa Kagera afikishwa Baraza la Ardhi la Wilaya kwa kupora ardhi

    Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera Nazir Karamagi amefikishwa katika baraza la ardhi la wilaya kwa kupora ardhi ya mwananchi katika kijiji cha Itahwa na kupanda mazao ya parachichi. Mwenyekiti Karamagi anatuhumiwa kupora heka sita. Huyu ni mmojawapo wa viongozi aliowahi kuwataja...
  12. Nkarahacha

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa UVCCM Kagera aliyetangaza kupoteza watu afiwa na baba mzazi

    Alietangaza kuanza kuwapoteza watu afiwa na baba yake mzazi. Mpe neno la faraja Soma Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
  13. Nkarahacha

    JamiiForums Tanzania Dkt Bashiru aliyeokotwa kwenye jalala anaweza kutangazwa makamu Mwenyekiti wa CCM.

    Vyanzo vyangu vinanitonya kuwa Dkt Bashiru Ally anaweza kutangazwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM taifa kuchukua nafasi ya Kinana. Shida niliyogundua kwake kipindi akiwa Katibu mkuu ni kuamini kuwa bado wananchi wana mawazo ya enzi za mwalimu,ameachwa sana na wakati. Haendani na kasi ya...
Back
Top Bottom