Kila Programming language ina Wrapper au Library ya Telegram BOT API.
Soma Documentation ya Telegram Bot API na documentation ya library ulochagua, zitakufanya uielewe Telegram BOT API vizuri zaidi.
BTW, Telegram nafikiri iko censored na mentored yetu, nilikua na Project ya Telegram BOT ila...
Mkonga wa Taifa is a single point of failure.
Haiwezekani mkonga ukate almost watanzania wote tukose mtandao.
Wadau wengine wana bread win kwa kutumia internet then inatokea siku tatu internet iko super slow.
Natambua hii ni mara chache kutokea, ila hili la juzi limetufundisha mengi.
Kwa ninavyojua hauwezi ondoa Card ya receiver kwenye kingamuzi chake.
Wanakua wame pair card na receiver kuzuia abuse.
Je, ni kweli hii inawezekana ukatoa card ya azam ukaitumia kwenye device nyingine?
Unaweza kusaidia kuweka picha hapa tuone hiyo CamCard iko je?
Nshalia na hizo modem za wachina, sijui zinaku ni toys ama ni nini, ndo maana nimeona nije hapa na nimeamua kuwa categorical kuwa ziwe modem za Huawei na ZTE.
Ntatuma picha baadae ili wengine wasije ingia mkenge na hizo modem za kichina.
Ambazo nimeona wachina hata wakiwa nazo wanaziuza bei...
Habari wana Jukwaa.
Nina project ambayo inaitaji USB modem, yoyote kati ya hizi kampuni tajwa hapa chini:
Huawei
ZTE
Najua teknolojia ya modem imeenda ina phase out kwenye nchi yetu, kutokana na kwamba kwa sasa kuna MiFi router ambazo unaweza kuzipata mpaka kwa 50,000/=
Hivo kama kipindi...
Mimi ni yule mtu anaeamini kwamba "Macbooks are the best and user friendly devices for Programmers and tech ethusiasts".
Linus Torvalds, mtengenezaji wa mfumo endeshi/Kernel ya. Linux, yeye pia hutumia Macbook Air.
Kama budget yako ni nzuri tafuta Macbook Pro zinazotumia Apple Silicon chips(M1...
All in All, backdoor zimekua zikiibuliwa now and then kwenye linux tools, mfano VSFTP 2.3.4 ilikua na backdoor inayoukuruhusu kuingia kwenye system ya linux kupitia port 6200. Na hii ndo teaching reference kwenye kufundisha namna ya ku run reverse shell kwenye vitabu mbali mbali.
Hivo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.