Sio wao tu hata wewe kesho ukiwa mmoja wao hutasema kila kitu kwa sababu utajiri ni matokeo ya tabia ya mtu katika kumudu mambo makuu matatu
Mosi, Imani katika utendaji
Pili, Siri katika utendaji
Tatu, Nidhamu katika utendaji
Sijaona tatizo la mwamba, halafu video imechukuliwa na mtu wa ChiefGodlove na Chief ndiye aliyetaka tuone hivyo vyote.
Binafsi nafurahia sana kuona watu wanaishi kama hivyo kwa sababu umasikini ni mbaya na masikini tunarudishana sana nyuma
Naam njia ya sindano ipo, sijui ni lini ilianza kutumika ila ipo na niliwahi kukutana na shuhuda kutokea South Africa anatumia njia hiyo. Nadhani bajeti za wizara zikikaa sawa, siku sio nyingi sindano pia itaingizwa nchini.
Nilipita kwenye ajira baadaye nikaacha, nikarudi kupambana mtaani na sasa nipo kwenye biashara kama mshirika wa kibiashara (Business Partner) na nimewahi kushiriki tendo mara kadhaa na nina mchumba ambaye nitamuoa mwakani kwa kadri ambavyo Mwenyezi Mungu atajalia.
UKIMWI ulikuwapo, upo na bado utaendelea kuwepo mpaka hapo mkono wa heri utakapofanyika tiba ili kukomesha janga hili. Kiufupi Ukimwi bado unayachukua maisha ya ndugu zetu makundi kwa makundi. Kwa ndugu zangu ambao ni waraibu wa ngono nakuaseni kwamba pindi tunapofanya basi tufanye kwa kinga na...
Ili kujua jamaa wapo kazini kutapeli wasio wajua unaweza ukajiridhisha hapo pichani.
Hapo kuna Pamela na Lily kila mmoja alikuja kivyake ila content ni zilezile.
Tena mmoja email yake ndiyo nimeifungua sasa hivi...maana nilimpotezea niliona kila kitu ni vilevile tu.
Ushauri wangu usithubutu...
Kikubwa, cha muhimu na cha msingi ni kujua kwanza kama aidha una tatizo au la ili uwe huru kujijua wewe ni wa kundi gani kuliko kuendelea kujifariji ilhali kuna shida.
Jambo la pili ni kuhiyari ikiwa utakutwa na shida basi kubali kulea mwana hata kama si wako mkuu kuna thawabu kubwa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.