Recent content by njozi zangu

  1. N

    Tujiulize Pamoja! Ni Coincidence au MUNGU Ameongea?

    Khamis Kingwangala amechaguliwa kuwa mbunge, hajaangushwa na Hussein Bashe....umekula nini wewe
  2. N

    Mbatia kamwe hachomoi Vunjo, labda Mmanga wa CCM asiwepo

    Shahada yenyewe hujapata halafu unalilia jimbo uko sawa kweli wewe????? Umehitimu mitihani lakn huja-graduate so u are not part of wasomi kama ulivyojinadi hapo juu.Na kusoma Pspa sio Kuwa mwanasiasa Dogo kajipange
  3. N

    Mada moto live on Channel Ten: Yaliyojiri mwisho wa wiki kuelekea uchaguzi mkuu

    Neno mpumbavu sio tusi wala Lofa sio tusi...ebu kesho magazeti kama Tanzania daima watoe headline imeandikwa 'Mkapa ni mpumbavu' ..nini kitatokea!!??
  4. N

    Polisi yaingilia kati zomea zomea ya waliovaa nguo za kijani na njano!

    Inapofika hatua kama hii hakuna namna nyingine zaidi ya kuzomea. Wazomeeni tu hakuna namna
  5. N

    Kikwete: Picha za mafuriko ya UKAWA ni za kutengeneza

    Mkuu wa kaya amenukuliwa mara kadhaa akisema neno "usiogope"au tusitishike..kumbe ameshaona hofu haipo kwake tu bali kwa wenzake pia. Ni kwa Mara ya kwanza mwenyekiti wa ccm na rais wa Tanzania anaanza campaign za kumnadi mgombea wake ..Hii sio hofu??..yule mamvi yeye anafanya siasa upande wa...
  6. N

    Lowassa anaumwa Parkinson's disease, urais atauwezaje?

    Ngoja nikushauri wewe Mbupu aka maku., siasa za kutafuta nani mgonjwa asiende ikulu ni siasa uchwara. Aliyeko madarakani alianguka akiwa kwenye campaign, juzi alikiri alikuwa mgonjwa wa mabusha. Chapombe nae alivyosikia babu wa samunge anatoa kikombe akakimbilia huko...umewahi kuhoji alikuwa...
  7. N

    Wazee wa CHADEMA wakutana na Dr. Slaa leo

    Hapo namuona mzee Lyimo, mzee Massawe, Mzee Minja, Mzee Ndosi,Mzee Kimaro....company at work
  8. N

    Wadada na Wakaka wengi waliokwenda nje kusoma/kufanya kazi, wanarejea wakiwa hoi

    Labda tuwekane sawa kidogo. Swala la kwenda nje I.e ughaibuni ni jambo jema sana hasa pale unapoenda kuongeza shule na maarifa pia. Tusifichane bwana watanzania wengi tumekuwa na ndoto za kwenda ughaibuni tena wengi hata kutamani kuishi huko. Hiyo si kwa watz tu, niseme waafrica wengi, nadhani...
Back
Top Bottom