Hawa ukawa mimi nashindwa kuwaelewa, mkuu nimeamini kuwa kuiondoa ccm ni kazi kubwa sana mana kwa jinsi ukawa wanavyoongea majukwaani utafikiri wamefika kila kona kumbe ni porojo za majukwaani tu, kweli hawa jamaa ni wababaishaji
Hao waliokodiwa ni wajinga sana, wanalipwa buku tano lakini watendelea kuwa na dhiki mpaka mwisho wa dunia, kweli wabongo hawawezi hata kufiria! unaenda kwenye mkutano wa ccm kwa kuhongwa buku tano halafu mwanao anakaa chini shuleni na hata walimu hawfundishi kwa kukosa maslahi mazuri, wkt huo...
Suala la mapingamizi mm naliona sio sababu, kwanza mapinamizi mengine waliowekewa yana ukweli mtupu, fikiria mtu anashindwa kugonga mhuri wa chama anagonga mhuri wake binafsi kweli hapo utawalaum ccm? au mtu ashindwa kujaza fomu, anagombea si mwanachama hapo utawalaumu ccm? mm nadhani viongozi...
Mkuu naungana na ww kwa ujumbe wako mzr sana. hawa viongozi wa upinzani nashindwa kuwaelewa kabisa, sababu nguvu inayotumika kuimarisha chama vijijini ni ndogo sana. wakifanya mikutano na kuona watu wamejaa wanajua kuwa wanakubalika kumbe wengine wamekuja kushangaa na kupoteza muda siku iishe...
Katika gazeti la habari leo la tarehe ya leo kuna habari inasema kuwa ccm imeshajizolea bila kupingwa viti vya serikali za mitaa, vijiji na vitongoji. Mimi nawauliza viongozi wa UKAWA, kweli mpo serious na kuchukua nchi mwakani? mana haiwezekani mkaacha kusimamisha wagombea maeneo mengi kiasi...
viongozi husika wa chademe muwe active kujibu mambo kama haya, mnapokaa kimya kama kuna upotoshaji watu wanaamini, na kama ni kweli hamjasimamisha wagombea ktk sehemu tajwa, basi chama kinaenda pabaya
Kweli mimi naona viongozi wa kitaifa wa UKAWA hawako makini na makubaliano yao ndio maana wanashindwa kuyasimamia, haiwezekani watu kwenye mitaa wanawekeana mapingamizi wenyewe kwa wenyewe halafu viongozi wamekaa kimya, hii ni ajabu sana
Kweli cdm hawako makini, haiwezekani chama kinachosema kua mwakani kinachukua nchi halafu kinaachia wagombea wake wanaenguliwa kizembe, sehemu nyingine hawajasimamisha wagombea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.