Recent content by Njota14

  1. N

    UKAWA bado Vijijini mkoani Kagera

    Hawa ukawa mimi nashindwa kuwaelewa, mkuu nimeamini kuwa kuiondoa ccm ni kazi kubwa sana mana kwa jinsi ukawa wanavyoongea majukwaani utafikiri wamefika kila kona kumbe ni porojo za majukwaani tu, kweli hawa jamaa ni wababaishaji
  2. N

    Mkutano wa CCM Sinza C wadoda

    Hao waliokodiwa ni wajinga sana, wanalipwa buku tano lakini watendelea kuwa na dhiki mpaka mwisho wa dunia, kweli wabongo hawawezi hata kufiria! unaenda kwenye mkutano wa ccm kwa kuhongwa buku tano halafu mwanao anakaa chini shuleni na hata walimu hawfundishi kwa kukosa maslahi mazuri, wkt huo...
  3. N

    CCM yazoa viti vingi vitongoji, serikali za mitaa na vijiji bila kupingwa

    Suala la mapingamizi mm naliona sio sababu, kwanza mapinamizi mengine waliowekewa yana ukweli mtupu, fikiria mtu anashindwa kugonga mhuri wa chama anagonga mhuri wake binafsi kweli hapo utawalaum ccm? au mtu ashindwa kujaza fomu, anagombea si mwanachama hapo utawalaumu ccm? mm nadhani viongozi...
  4. N

    CHADEMA NA UKAWA: Msipofanya mabadiliko CCM itaendelea kututawala, chukueni hatua

    Mkuu naungana na ww kwa ujumbe wako mzr sana. hawa viongozi wa upinzani nashindwa kuwaelewa kabisa, sababu nguvu inayotumika kuimarisha chama vijijini ni ndogo sana. wakifanya mikutano na kuona watu wamejaa wanajua kuwa wanakubalika kumbe wengine wamekuja kushangaa na kupoteza muda siku iishe...
  5. N

    CCM yazoa viti vingi vitongoji, serikali za mitaa na vijiji bila kupingwa

    Katika gazeti la habari leo la tarehe ya leo kuna habari inasema kuwa ccm imeshajizolea bila kupingwa viti vya serikali za mitaa, vijiji na vitongoji. Mimi nawauliza viongozi wa UKAWA, kweli mpo serious na kuchukua nchi mwakani? mana haiwezekani mkaacha kusimamisha wagombea maeneo mengi kiasi...
  6. N

    Mikutano ya kampeini ya UKAWA Moshi na Arusha hawapeperushi bendera ya CUF

    suala sio kupeperusha bendera bendera, bali ni vyama vyote kuwa na lengo moja la kuiondoa ccm
  7. N

    Arusha CCM imepita bila kupingwa mitaa 7 na wajumbe 96 kati ya mitaa 155

    viongozi husika wa chademe muwe active kujibu mambo kama haya, mnapokaa kimya kama kuna upotoshaji watu wanaamini, na kama ni kweli hamjasimamisha wagombea ktk sehemu tajwa, basi chama kinaenda pabaya
  8. N

    CUF wamewawaekea pingamizi CHADEMA Serikali za mitaa Geita

    Kweli mimi naona viongozi wa kitaifa wa UKAWA hawako makini na makubaliano yao ndio maana wanashindwa kuyasimamia, haiwezekani watu kwenye mitaa wanawekeana mapingamizi wenyewe kwa wenyewe halafu viongozi wamekaa kimya, hii ni ajabu sana
  9. N

    CHADEMA hawako makini kabisa

    Kweli cdm hawako makini, haiwezekani chama kinachosema kua mwakani kinachukua nchi halafu kinaachia wagombea wake wanaenguliwa kizembe, sehemu nyingine hawajasimamisha wagombea
Back
Top Bottom