aina ya aple ni anna .parachichi kuna weso,hasi,fwete na xikuru.hizi aina zina stawi sehemu nyingi hasa kwenye ubichi na si kwenye ukame.bei ni tsh 2500/=@1. PIA AINA NYINGINE ZIPO NYINGI NA MITI YA MBAO PAMOJA NA MAUA
Kuna miche mizuri ya matunda mbali mbali kama parachichi na epo nk inapatikana kwa wingi hapa njombe. Pia miche ya miti ya mbao inapatikana kwa bei nafuu.fika mtaa wa maheve njombe ujipatie kwa bei rahisi.
Ukawa wana hoja na pia za msingi katika kujenga nchi yetu. Nawahakikishia tanzania pasipo ukawa tumekisha kwakua mkoloni ccm anatukaba kinoma tuwe na maisha duni.
Pamoja sana wananjombe. Tumshukuru mungu kwa kutuweka akili na hekima za kutambua jambo jema. Watz tunataka waige mapinduzi ya kweli. Njombe bila ccm tutapata maendeleo na amani yakutosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.