MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 760
Alikuwa anapeleka chama makao makuu?
Kinana alikua anayahitaji
Alikuwa anapeleka chama makao makuu?
Ripoti ya CAG yote kuhusu Escrow Tegeta ipo gazeti la Jamhuri la leo tar 25/11/14.
Get your own copy.
Hivi hizi habari za kuzusha zitaisha lini?kwanza ccm haina cheo cha mwenyekiti wa jimbo bali kuna mwenyekiti wa wilaya,,hata hivyo mwenyekiti wa wilaya ya rorya anaitwa samweli kiboye a.k.a namba tatu!!!
Mwenyekiti wa CCM jimbo la Rorya, Mwita Kilaru amekamatwa akiwa na meno ya Tembo..
Hii sasa ni sera ya CCM Katibu Mkuu ndiyo kinara na kama Serikali inataka kukomesha waanze na katibu Mkuu wa CCM.
source: Matukio - RFA
Kudadadadek! nimemsikia juzi akiongea kwenye mkutano huko Rorya akijitapa kwamba wao ni chama dola na yeye ndio bosi wao huko Rorya! kumbe tayari alishapaki shehena!!? Period...
Hivi Rorya kuna Tembo au kayafuata Serengeti ama Lindi?Mwenyekiti wa CCM jimbo la Rorya, Mwita Kilaru amekamatwa akiwa na meno ya Tembo..
Hii sasa ni sera ya CCM Katibu Mkuu ndiyo kinara na kama Serikali inataka kukomesha waanze na katibu Mkuu wa CCM.
source: Matukio - RFA
Mkuu Crashwise mbona unawafuatafuata CCM wakati wakiwa kwenye hatua za mwisho za kutekeleza ilani yao ya Uchaguzi?Mwenyekiti wa CCM jimbo la Rorya, Mwita Kilaru amekamatwa akiwa na meno ya Tembo..
Hii sasa ni sera ya CCM Katibu Mkuu ndiyo kinara na kama Serikali inataka kukomesha waanze na katibu Mkuu wa CCM.
source: Matukio - RFA
Mwenyekiti wa CCM jimbo la Rorya, Mwita Kilaru amekamatwa akiwa na meno ya Tembo..
Hii sasa ni sera ya CCM Katibu Mkuu ndiyo kinara na kama Serikali inataka kukomesha waanze na katibu Mkuu wa CCM.
source: Matukio - RFA