Naomba kuchangia kama ifuatavyo:-
Ni kweli kabisa serikali inatakiwa iangalie uhitaji wa jamii husika kabla haijafanya au kutoa huduma yoyote kwa jamii.
Kimsingi vipaumbele vinatakiwa vitokane na mawazo ya watanzania katika eneo husika.Nadhani kutakuwa na tatizo mahala kwa sababu wawakilishi...
Ningekuwa mimi ningefanya hivi:-
1. Kupitia upya mikataba mbalimbali na kuifanya iwe rafiki kwa watanzania.
2. Kuweka watu sahihi katika wizara mbalimbali.
3. Kuainisha matatizo wanayopata watanzania
4. Kuweka mikakati ya kutatua matatizo yanayowakumba asilimia kubwa ya watanzania,kwa mfano...
Kuna mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema hivi...Vitu vyote unavyoviona ni tokeo la wazo au mawazo ya MTU au kikundi cha watu...hapa namaanisha maendeleo yote unayoyaona..hoja yangu ni kwamba maendeleo yote ni tokeo la maandishi yoyote yaliyowafanya watu wayaelewe na kufanyia kazi..To me kutumia...
Ninachokiona Mimi huo umoja unaosemwa unaweza ukaleta direct impact kwa wahusika physically..nahisi ndo maana walimu wanaogopa..ila nimegundua kuwa kuna kitu kinaweza kuwa kinaendelea ndani ya mioyo ya walimu kimyakimya( sema tu wengi hatujagundua)..hivi unawezaje kuamini kuwa mwanafunzi kasoma...
Ni kweli kabisa mtoa hoja hujakosea..kwa maoni yangu ningefurahi kama walimu wangeboreshewa maslahi yao..na kama ingewezekana walimu wa shule ya msingi ndiyo wangetakiwa kupata mshahara mkubwa zaidi kuliko level zinazofuata kama sekondari nk..hii ni kwa sababu mwalimu wa primary ana kazi kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.