Recent content by Njele

  1. N

    Ludewa: Mgombea wa CCM, Deo Filikunjombe apita bila kupingwa

    Nashani hii mgombea upande wa Ludewa hakuhusishwa vinginevyo ingepita kiulaini zaidi
  2. N

    Ludewa: Mgombea wa CCM, Deo Filikunjombe apita bila kupingwa

    Nimezungumza kwa kirefu sana na mgombea wetu mzee Mkinga. Ni hivi. Fomu zote zilijazwa kwa uangalifu mkubwa sana.hakuna fomu iliyokosea. Fomu zote zilipelekwa kwa mkurugenzi na akasaini. Wakati wa kubandika fomu za wagombea mkurugenzi aliiacha fomu no .10( fomu ya maadili) ya mgombea wetu huku...
  3. N

    CHADEMA wakiungana na Lowasa, NCCR Na Makaidi ushindi upo, CUF waroho wa madaraka na mali

    Binafsi naona NCCR na Chadema baada ya Uchaguzi mkuu kuna hata uwezekano wa kuungana na kuwa chama kikuu kimoja cha upinzani. Hawa CUF ni donda ndungu tujuavyo hawa jamaa wa visiwani wana visirani vyao vya asili na katu hawatakuwa tayari kuunganisha nguvu kwa sababu wanatanguliza masilani...
  4. N

    CHADEMA wakiungana na Lowasa, NCCR Na Makaidi ushindi upo, CUF waroho wa madaraka na mali

    CUF CCM B twawachia na mihemuko yao ya uroho, wanatanguliza masilahi binafsi badala ya hitaji la sasa la kuikomboa Tanzania. CUF wabaki huko huko visiwani na watauona moto wa UKAWA huko Lindi na Mtwara wanakojivunia
  5. N

    Filikunjombe aonyesha wabunge watavuna walichopanda, aandaliwa ibada rasmi

    Wamisionari na makanisa wanaojenga vinu vya umeme na kusambaza vijijini, kujenga mashule na mahospitali, tunajua kazi yao ni kuhubiri dini si kufanya shughuli za maendelea ambazo zinatakiwa kufanywa na serikali. Hao unawachukuliaje?
  6. N

    Filikunjombe aonyesha wabunge watavuna walichopanda, aandaliwa ibada rasmi

    Shs 15,000 hata hazitoshi kupata bati moja la kuezekea, angalia mwenzake Filikujombe pichanai apeleka mabati ya kutosheleza kuezeka shule. Ukiwa mtumishi wa watu fanya yale wanayotazamia unaowatumikia.
  7. N

    Filikunjombe aonyesha wabunge watavuna walichopanda, aandaliwa ibada rasmi

    Ukiwa mwanasiasa unatakiwa uache ubahili. Tatizo la huyu mama ni ubahili. Huo mradi wa maji sio wake ni jitihada za Mbunge Filikunjome kuisukuma serikali na ushirikiano wa karibu na Jimbo katoliki Njombe linalofanya shughuli nyingi za maendeleo ya jamii Mkoa wa Njombe. Pindi alienda hapo kwa...
  8. N

    Filikunjombe atikisa Dar kuleta wasanii ngoma ya asili Mganda - yavunja rekodi kiingilio

    Ngoja nipange kutembelea huko maana hii beach hapa imetulia sana, nikichelewa watawahi wajanja
  9. N

    Filikunjombe aonyesha wabunge watavuna walichopanda, aandaliwa ibada rasmi

    Na yeye anaoneana kama mchungaji vile, au macho yangu yametiwa kiza?
  10. N

    Filikunjombe aonyesha wabunge watavuna walichopanda, aandaliwa ibada rasmi

    Mbona wengine wanavimbisha mishipa hadi kupigana mikutano ya CCM eti wanaingiliana ratiba, huko kwa Filikunjombe hakuna jambo kama hilo?
  11. N

    Filikunjombe atikisa Dar kuleta wasanii ngoma ya asili Mganda - yavunja rekodi kiingilio

    Kati ya ngoma za kiasili Tanzania, ngoma hii nimeshawahi kuiona inahitaji umahiri na mzoezi ya viungo pia kama ilivyo michezo ya mpira nk. Pia kuna ufundi si ngoma ya kurukaruka kila mtu, ina ufundi na mafunzo maalum. Ukweli inavutia sana. Kuna ngoma ya Lizombe huko kwa wangoni nayo inahitaji...
  12. N

    Gharama za kimataifa kwa miito ya simu Afrika mashariki, Japan na Ulaya

    Find Your Country Get rates, SMS coverage, and Call Me Free Information for your country. Tanzania Landline 23.5¢ / min Mobile 24.5¢ / min SMS Kenya Landline 4¢ / min Mobile 4¢ / min SMS Uganda Landline 9¢ / min Mobile 25¢ / min SMS Rwanda Landline 27.5¢ / min Mobile undefined SMS Burundi...
  13. N

    Gharama za kimataifa kwa miito ya simu Afrika mashariki, Japan na Ulaya

    Find Your CountryGet rates, SMS coverage, and Call Me Free Information for your country. TanzaniaLandline 23.5¢ / min Mobile 24.5¢ / min SMS + x KenyaLandline 4¢ / min Mobile 4¢ / min SMS + x UgandaLandline 9¢ / min Mobile 25¢ / min SMS + x RwandaLandline 27.5¢...
  14. N

    Usafiri daladala abiria watumiapo kujiridhisha ngono bila gharama wala ridhaa

    Sina mazoea ya kupanda Daladala Dar, kuna siku nimetumia usafiri huu jijini Dar, sikuwa na jinsi kusubiria gari lenye nafasi maana yote yalionekana kujaa nikaamua nifuate wenye mazoea kushikilia bomba mwendo mrefu na hatukuwa wengi kiasi cha kufanyiana mambo ya kipuuzi. Mbele yangu alisimama...
  15. N

    KOVA: Kapuya hana kosa la kuhojiwa ni mambo yake binafsi

    Binafsi namshangaa sana kova alivyotoka povu jingi kumtetea mtuhumiwa wa ufuska na pia mtuhumiwa wa kusambaza maambukizi ya ukimwi. Angekuwa kiongozi kutoka chama cha upinzania angetuma jeshi lake kuvamia usina na silaha zenye ncha kali.
Back
Top Bottom