Hilo la wanawake kwanini ni wengi muulize mama yako nafikiri atakupatia jibu sahihi. Siku zote mama huwa yuko tiyari afanye chochote kulinda familia.
Pia mbona hushamgai baa na groceries kujengwa kila mahali wewe unashangaa kanisa ambalo linahubiri neno la Mungu. Acha ujinga pumbavu
We jamaa uko sawa kabisa jamii imesahau kuwa tendo linalofanywa ni lile lie kwa wanawake na wanaume njia ni ile ile kwao wote. Ajabu unakuta Ke anayeingiliwa kinyume naye anapinga ushoga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.