Recent content by NITAKUKAMATA TU

  1. NITAKUKAMATA TU

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Vita ya Ubunge Arusha mjini; Makonda amzuia Mkuu wa Wilaya kushiriki mikutano ya Mbunge Gambo

    Serious ng'ombe ndio iwawakilishe?, kwaio wananchi wa uko ni mapunda kabisa
  2. NITAKUKAMATA TU

    JamiiForums Tanzania Usiichukulie poa Tanzania katika medani za kivita, walioijaribu walifutika

    Wasiwasi wetu ndio huo ,je kwa mienendo ya viongozi wetu je jeshi letu litakuwa na uadilifu,morali na hali ya kupambania watu wake,nchi,,na jiran zetu kama miaka ya nyuma
  3. NITAKUKAMATA TU

    JamiiForums Tanzania Usiichukulie poa Tanzania katika medani za kivita, walioijaribu walifutika

    Nikweli umesema vyema ,lakini angalia vipindi vyote hivo tulikuwa na maraisi wa aina gani?,na mawaziri wa ulinzi wa aina gani??
  4. NITAKUKAMATA TU

    JamiiForums Tanzania JKT Tanzania, TAKUKURU na Bodi ya Ligi ichunguze bank account na kumhoji mchezaji Mohamed Bakari

    Maneno makali sana ndugu yetu
  5. NITAKUKAMATA TU

    JamiiForums Tanzania Ukishabikia Simba na Yanga lazima kichwani ziwe zimepungua na umasikini lazima uwe rafiki yako

    Bwana żaka za Kazi MASHABIKI WA TIMU gani ni matajiri tuamie huko,? Au unatafuta MASHABIKI WA kuamia Azam kwa nguvu
  6. NITAKUKAMATA TU

    JamiiForums Tanzania Kosa kubwa la Yanga ni kujifananisha na Simba!

    Unaonesha Una level madogo sana ya uchakataji WA mambo
  7. NITAKUKAMATA TU

    JamiiForums Tanzania Kosa kubwa la Yanga ni kujifananisha na Simba!

    Bogus statement
  8. NITAKUKAMATA TU

    JamiiForums Tanzania Nilishindwa kumuoa sababu ya mahari waliyohitaji wazazi wake

    Usikubali KUWA mtumwa
  9. NITAKUKAMATA TU

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la mabinti (wanawake) waliochora tattoo sehemu mbalimbali za miili yao, nini tatizo? Haliwezi kuhatarisha makuzi ya mabinti wa kesho?

    Best reply, Umesema ukweli kabisa ,lakiñ Bado itabaki jukumu letu kulinda vizazi vyetu kuondokana na majuto ya mbeleni,
  10. NITAKUKAMATA TU

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la mabinti (wanawake) waliochora tattoo sehemu mbalimbali za miili yao, nini tatizo? Haliwezi kuhatarisha makuzi ya mabinti wa kesho?

    Wazo zuri lakiñ ni vyema ,tushindwe tukijaribu kuliko kushindwa na hatukujaribu
  11. NITAKUKAMATA TU

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la mabinti (wanawake) waliochora tattoo sehemu mbalimbali za miili yao, nini tatizo? Haliwezi kuhatarisha makuzi ya mabinti wa kesho?

    Tusiseme hivyo, siraha Iko mkononi mwetu ,wajibu kujirinda dhidi ya adui
  12. NITAKUKAMATA TU

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la mabinti (wanawake) waliochora tattoo sehemu mbalimbali za miili yao, nini tatizo? Haliwezi kuhatarisha makuzi ya mabinti wa kesho?

    Habari ndugu wana jamvi, Leo nimekuja na jambo ambalo linaweza kunipa wasiwàsi kwa namna moja au nyingine. Kama jamii hivi Sasa ,kumekuwa na wimbi kubwa La wadada ,wasichana na wanawake kujichora tatoo Katika miili Yao. Na tattoo hizo mara nyingi uchorwa sehemu ambazo inakuwa rahisi kwa MTu...
  13. NITAKUKAMATA TU

    JamiiForums Tanzania Halotel mjitafakari mmebakia nyie

    Kama hizi SMS za UGANGA aisee zinanipa hasira sana
  14. NITAKUKAMATA TU

    JamiiForums Tanzania Halotel mjitafakari mmebakia nyie

    kiukweli HALOTEL imekuwa kero kubwa
Back
Top Bottom