Recent content by NITAKUKAMATA TU

  1. NITAKUKAMATA TU

    Nataka kuanzisha harambee ya kumnunulia Rais Samia shamba Kaliua ili aachane na siasa 2025

    Naomba uanze na mimi ,sina ajira ilo shamba litanisahidiq ,naomba uanze na mimi
  2. NITAKUKAMATA TU

    Rais Samia anasifiwa kupita kiasi

    Usiwe mgeni basi katika hii country, kuna kipindi kuliibuka wimbi la kila anaesifia ,anaibuka na moja ya nafasi serikalini, Kwaiyo wote hao unaowaona ni walenga faida , wakiwa vyumbni mwao ambapo hawaonwi na Makada na waimba pambio wenzao wanasonya tu
  3. NITAKUKAMATA TU

    Makonda anaeneza ukabila? Ni nini kinamfanya aongee kisukuma huko usukumani?

    Umeandika nini ?bado sijakuelewa article lako lina lengo gani? Convincil language tu ,katika kuchagiza jambo kwa jamii fulani tu
  4. NITAKUKAMATA TU

    Simba SC tumechoka sasa dharau za Clatous Chama tafadhali aachwe upesi

    Mlishaonesha udhaifu mkubwa mbele ya triple c,as if hamuwezi survive bila yeye, japo ni karata nzuri imechangwa na viongozi ,amalize mkataba ulibaki aondoke
  5. NITAKUKAMATA TU

    Ipo siku yaja kwa huyu mwenezi msipomfunda CCM na Rais Samia mtavuna mabua

    Kama anachokifanya kina manufaa kwa wananchi,basi na aendelee
  6. NITAKUKAMATA TU

    Takwimu za uchangiaji wa wabunge wa bunge la Tanzania

    kama sio lazima ,utapelekaje maoni ya wananchi wako?
  7. NITAKUKAMATA TU

    Takwimu za uchangiaji wa wabunge wa bunge la Tanzania

    Habari wa jamvi Baada ya kufanya uchunguzi wangu kuhusiana na mienendo ya uchangiaji wa hoja mbalimbali bungeni, Nimekuja na takwimu hizi 1-. 30% -ya wabunge ndio wanaochangia mada kila kikao cha bunge 2-. 24% ya wabunge kazi yao ni kupiga piga meza tu ,wakati wenzao wanachangia 3-. 23%...
  8. NITAKUKAMATA TU

    Hongera Gerald Hando kwa kusimamia weledi kwenye kazi yako. Piga kazi watanzania tunakukubali

    hapo ndio huwa mnapokosea kwa kuwafananisha wasanii na muziki wa USB ,et usb, USA na wa kwenu uku
  9. NITAKUKAMATA TU

    Arsenal ina miaka saba haijacheza UEFA! Je, inafaa kuitwa timu kubwa?

    Wewe unaposikia club kubwa unaelewaje kwanza ?tuanzie hapo
  10. NITAKUKAMATA TU

    Saka kulipwa Sh123 milioni kwa siku Arsenal

    Somo kwa Feisal salum
Back
Top Bottom