Usiwe mgeni basi katika hii country, kuna kipindi kuliibuka wimbi la kila anaesifia ,anaibuka na moja ya nafasi serikalini,
Kwaiyo wote hao unaowaona ni walenga faida , wakiwa vyumbni mwao ambapo hawaonwi na Makada na waimba pambio wenzao wanasonya tu
Mlishaonesha udhaifu mkubwa mbele ya triple c,as if hamuwezi survive bila yeye, japo ni karata nzuri imechangwa na viongozi ,amalize mkataba ulibaki aondoke
Habari wa jamvi
Baada ya kufanya uchunguzi wangu kuhusiana na mienendo ya uchangiaji wa hoja mbalimbali bungeni,
Nimekuja na takwimu hizi
1-. 30% -ya wabunge ndio wanaochangia mada kila kikao cha bunge
2-. 24% ya wabunge kazi yao ni kupiga piga meza tu ,wakati wenzao wanachangia
3-. 23%...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.