Ndugu yangu unacheza midundo ya muziki ya kidunia unasema unamsifu Bwana. Hebu fikiria Yesu angecheza nanyi. Dhamiri itakushuhudia. Yaani Yesu, Petro, Yohana, Paulo, leo warudi watacheza nyimbo za rose mhando?
Kwani kahukumu au kauliza ukweli. Yesu alivowaambia waandishi na mafarisayo aliwahukumu. Ukisoma nyaraka za mtume Paulo anaonya uovo kwa wakorintho, warumi, waefeso nk. Je anawahukumu au anakemea dhambi. Acha kupotosha
Yaani unajiona unajua neno kuliko Kakobe, hauna tofauti na mhando. Yeye anasema ni mtumishi wa Mungu. Biblia inasema mtawatambua kwa matunda yao. Tunahitaji watumishi wa kumwambia Herode si halali kuwa na mke wa nduguyo. Usitake kanis.a likengeuke. Katubu
Pole sana, wakina Petro, Paulo, Yohana historia zao unazijua. Soma biblia na tafuta kweli utajua. Watumishi wa kweli hawapigwi bao na wanadamu. Hawa huwekwa na Mungu mwenyewe, na anawatumia atakavo yeye.'
WEWE utakuwa mdini sana, mwongo zaidi ya yule professor. Mrema hajawahi kugombea na Mwinyi. Mrema kwa mara ya kwanza alipambana na Mkapa 1995. Acha kudanganya humu. Kama hakumsupport Mkapa akawa upande wa Mrema ana udini gani wakati hao wote ni wakristo. Yeye anasimama upande wa Mungu. Haangalii...
Kuwa muelewa kuweka hiyo miundombinu inataka fedha nyingi na ni kwa muda mrefu. Sera za nchi yetu siyo rafiki na hilo. Fikiria maabara za shule ni issue. Sasa uwaambie waanzishe kituo cha research and engineering products development utakuwa unaota ukiwa macho. Waambie waimarishe ccm, aah hapo...
Pole kwa uelewa wako mdogo. Tatizo ni miundombinu ya hapa kwetu. Ukitaka kuunda kitu hapa gharama za uzalishaji zitafanya hiyo kitu isipate soko. Bei inaweza fika mara kumi ya kugiza kitu namna ile ile toka nchi zilizoendelea. Miundimbinu yao inarahisisha uzalishaji. Umeme rahisi, usafirishaji...
watoto na wanawake wanatumiwa na magaidi kama ngao kwa mfano hamas wanapoenda na silaha za kivita kwenye shule za UN, lengo lao wasipigwe kwa kisingizio cha uwepo wa watoto wakati wao wanashambulia Israel. Nani atakubali ujinga huo. Hivo watoto na wanawake wanatolewa muhanga na magaidi ili dunia...
Mkuu niliwahi kuota sana hiyo ndoto kuanzia 2007, baada ya hapo mimepita kwenye maisha magumu sana kiuchumi, kijamii sasa nategemea msaada wa Mungu tu. Naamini manlelly amesema tafsiri sahihi
Sasa tatizo liko wapi Mkono kasema moja amemuuzia(prado) moja kamkodisha (Nissan patrol). Zitto anasema ana freelander na carina. Huoni nyuma ya pazia.
Mkuu nidhamu itatoka wapi bila kufanya hivo. Watu wenye uchu wa madaraka na tamaa binafsi dawa ni kusafisha. Tunafanyaje magugu shambani? Tuyaache yakue na mazao? Hapana tunang'oa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.