Recent content by nique bernie

  1. N

    Nataka kufanya saving ya pesa zangu ambayo nitakuwa naweka kwa mfumo wa dollar

    ndo maana nikaulza charges zake zkoje...na anayefaham better charges compared to the others...
  2. N

    Nataka kufanya saving ya pesa zangu ambayo nitakuwa naweka kwa mfumo wa dollar

    Wakuu habari za mida hii.. Asee nafikiria namna ya kuwa na savings account lakini ambayo itakuwa ni dollar account.. In the sense that..visenti vyangu ntavyokuwa navpata naviweka kwa hyo dollar saving account baada ya kuvibadlsha kupitia Bureau de change.. Nan anafaham bank nzur ambayo haina...
  3. N

    Naombeni ushauri nahisi nilijidanganya kwa huyu Binti

    Man achana na hyo nyara asee...Hyo pain unapata unastahili kuipata ili ukomae kisawasawa ... but trust me, itapita with time mpaka kuna kipindi utakuwa unajicheka kwann ulikuwa unaumiza kichwa kwa huyo mtu. Umri wako ni umri mzur tuu.. najua hapo unawaza umepoteza mda kinyama na hyo nyara...
Back
Top Bottom