Yanga mawazo yao yote yapo mechi ya week ijayo katika michuano ya loosers. Hivyo leo tegemea kuwaona kina Ambundo, Mauya, Farid n.k ambao mbele ya kina Asukile ambao hawana cha kupoteza lazima watwangwe VIRUNGU tu.
Kuelekea mechi ya leo kati ya Yanga SC na Tanzania Prisons.. Msemaji wa Tanzania Prisons anena haya wakati akihojiwa na kituo kimoja cha redio:-
Mtangazaji: Kuelekea mechi ya leo, je katika timu yenu kuna majeruhi yoyote?
Msemaji: Benjamini Asukile yupo salama.. Pia wachezaji wenzake wote wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.